Verossa

Verossa

Sio kwamba nakuonea wivu umeoa, au namuonea wivu huyo 'mkeo mtarajiwa', la hasha!!!
Wapo wengi walioahidiwa kuolewa na huyo 'mkeo' na wakaangukia pua.
Ila kaa ukijua 'mkeo' huyo anapenda sana pesa, ukiwa huna pesa, utachezea vitasa tu.
Kuna mwenzio 'mtaa wa pili' hajapona alama za vidole mashavuni mpaka leo.
Haya, we okota tu dodo lako chini ya mfenesi.

Afu ukumbuke na ukubali mitara kwa huyo partner wa wizarabya elimu.
....sio wivu, usije sema sijakwambia.
Evelyn Salt mie sikuonei donge ujue.
Hahahahhaha.....Verossa na Celica
Hahaaaaa!!! Ndo ashaambiwa yeye ndio chaki yake.
 
Basi na ijulikane kuanzia sasa..

Afande Mentor
na
Mwalimu Evelyn Salt

Ni ntu na ntuwe!

Nimefunga zoezi la kutafuta mwalimu!

Cc; RRONDO, babu Asprin, mwalimu mkuu snowhite, mwalimu wa nidhamu Madame B, mshenga KakaKiiza

Ndugu jamaa na marafiki...popote pale walipo!!!



ewaaa..si unaona! Kumbe wala sio gumu ni mentality yako ilikufanya ulione gumu (huenda shule ulikutana na wenzako waliosema huo ni ugonjwa wa taifa, wakakuambukiza).

Na ninaamini wanao watakuwa better students maana hutawaambukiza ugonjwa huo.
Ahsanta kwa taarifa.

Filed.
 
😀😀😀😀😀
Haya sio maneno ya kumwambia shemeji ako asee, umenikwaza mnooo kiasi kwamba nakuona kamatia mwanafunzi wa Mbeya Day
Mie nimekolezea tu fasihi yako jamani, huyu shemeji we mtumie tu maana ndio chaki yako, ukimaliza futa ubao chukua chaki nyingine.
 
Wewe ndiwe lindo langu, daima nitakulinda
nakupenda kuliko posho yangu
wewe ndiwe staff shoes zangu, sihitaji kiwi wang'aa kama jua
infact, pendo lako latosha kung'arisha viatu vyangu.
😀😀😀😀😀
Inside a verossa nimeokota bonge la bwana lol
 
Wewe ndiwe lindo langu, daima nitakulinda
nakupenda kuliko posho yangu
wewe ndiwe staff shoes zangu, sihitaji kiwi wang'aa kama jua
infact, pendo lako latosha kung'arisha viatu vyangu.
Mapenzi yakiwa mapya bwana
 
Mentor mpenzi mie ni mti wenye matunda usitie shaka kuona nashambuliwa, naomba uniweke kwenye MAHABUSU YA MOYO WAKO TU panatosha

Naam nami naomba unipende kama mwanafunzi yule mtiifu
wewe ndo mwalimu mkuu wa moyo wangu!

collabo yangu na wewe lazima wanafunzi wanyoke;

siku nikiwa off nakuazima swagger cane yangu na kirungu..
th


[HASHTAG]#perfectCOMBO[/HASHTAG]
 
Madame B wewe Kipaji Halisi si na mahari alitaka kutoa ukakimbia!?? Kweli hata mimi sijui unataka nini!

Hahahah Unakumbuka ule mfano wa jamaa aliyewagaia wanawake wake watatu 500,000/- halafu akawapima wataifanyia nini mwishowe akaja kumuoa mwenye chura...ni sawa na wewe, nahisi huwa unaangaliaga mandingo ndo kigezo chako, and the more you look the more you keep looking!

Ila kama ukiacha kuchagua chagua... RRONDO atakufaa sana!

Hahaha usitake kunigombanisha na watu bana. Kuna mtu aliniambia, "Ujue wewe dogo umefanya mpaka nikauza celica yangu!" Dah....

Hahahahahha....jamani Celica yangu, ndo kitanda changu na ndo my everything.
Hahahaha Kipaji Halisi yupo tu?
Nimemmiss sana mwambie.

Unajua mwanafunzi wangu wewe nikueleze kitu, mwanamke anataka mandingo, pesa ni nyongeza tu.
Hata uwe na pesa gunia, kama huna 'kufaa madhubuti', utasaidiwa tu na wenzio.
 
Naam nami naomba unipende kama mwanafunzi yule mtiifu
wewe ndo mwalimu mkuu wa moyo wangu!

collabo yangu na wewe lazima wanafunzi wanyoke;

siku nikiwa off nakuazima swagger cane yangu na kirungu..
th


[HASHTAG]#perfectCOMBO[/HASHTAG]
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
images (20).jpg

LP-LP246C-full.jpg
hii kweli perfect combo
 
Hahahahahha....jamani Celica yangu, ndo kitanda changu na ndo my everything.
Hahahaha Kipaji Halisi yupo tu?
Nimemmiss sana mwambie.

Unajua mwanafunzi wangu wewe nikueleze kitu, mwanamke anataka mandingo, pesa ni nyongeza tu.
Hata uwe na pesa gunia, kama huna 'kufaa madhubuti', utasaidiwa tu na wenzio.
Naridhika hata kwa mbilimbi usinisemee asee
 
Hahahahahha....jamani Celica yangu, ndo kitanda changu na ndo my everything.
Hahahaha Kipaji Halisi yupo tu?
Nimemmiss sana mwambie.

Unajua mwanafunzi wangu wewe nikueleze kitu, mwanamke anataka mandingo, pesa ni nyongeza tu.
Hata uwe na pesa gunia, kama huna 'kufaa madhubuti', utasaidiwa tu na wenzio.

Umeanza pesa umekuja mandingo....nimebarikiwa sekta zote aisee.

Ulichezea bahati kwa Mjeda yule, ukachezea bahati kwa Kipaji Halisi, Mtambuzi alitaka kukufanya nyumba ndogo sijui mke mdogo ukaringa, sasa umebaki unalilia celica!!!!
 
Basi na ijulikane kuanzia sasa..

Afande Mentor
na
Mwalimu Evelyn Salt

Ni ntu na ntuwe!

Nimefunga zoezi la kutafuta mwalimu!

Cc; RRONDO, babu Asprin, mwalimu mkuu snowhite, mwalimu wa nidhamu Madame B, mshenga KakaKiiza

Ndugu jamaa na marafiki...popote pale walipo!!!



ewaaa..si unaona! Kumbe wala sio gumu ni mentality yako ilikufanya ulione gumu (huenda shule ulikutana na wenzako waliosema huo ni ugonjwa wa taifa, wakakuambukiza).

Na ninaamini wanao watakuwa better students maana hutawaambukiza ugonjwa huo.
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEREEEEE!!!!!!
MTU NA SALOME WAKE!!
 
Back
Top Bottom