Nna wivu sana ujueI love the upgrade!
Nna wivu sana ujue
Na hapo nimeelewa tu I love hilo jingine nikielewa maana yake sijui tu hali itakuaje, ngoja nilale
Alah! Kumbe kapewa cha mbavu ndo maana wampigie debe kwangu! Mwambie aje hapa aseme kwanza nini kinamfanya asitulie! Aidha, aje na mkataba kabisa kuonesha keshalipa kodi ya nyumba!
Noma sana.....hahahahaha..mambo ya Verosa....lol
Daaah Aibu naona mie kwa niaba ya bi mkubwa mwee
Alah! Kumbe kapewa cha mbavu ndo maana wampigie debe kwangu! Mwambie aje hapa aseme kwanza nini kinamfanya asitulie! Aidha, aje na mkataba kabisa kuonesha keshalipa kodi ya nyumba!
Shhhhhhhhhh!!! Nipo kwenye uumbaji hebu tulia kwanza unanitingisha, hili nitakuja kulimaliza baadae, ukimuona Manga ML mwambie namtafuta.Daaah Aibu naona mie kwa niaba ya bi mkubwa mwee
atoto unaijua nyota yako, tulia tu jamani mwee. Hivi hujafwariki tu huko uliko, naona nyuki naye kagoma kuchavusha maua hahaha khaa
Haha Leo atakumbukwa hadi tomato sio manga peke akeShhhhhhhhhh!!! Nipo kwenye uumbaji hebu tulia kwanza unanitingisha, hili nitakuja kulimaliza baadae, ukimuona Manga ML mwambie namtafuta.
Huyo si kuwa anakumbukwa, hajawahi kuondoka ujue, kumbe hukuunganisha dots eeeh?Haha Leo atakumbukwa hadi tomato sio manga peke ake
Yaani bora tu uone aibu.Daaah Aibu naona mie kwa niaba ya bi mkubwa mwee
atoto unaijua nyota yako, tulia tu jamani mwee. Hivi hujafwariki tu huko uliko, naona nyuki naye kagoma kuchavusha maua hahaha khaa
Mweeeee pole jamani, rejection hurts. Watu hawataki majike shupaHuyo si kuwa anakumbukwa, hajawahi kuondoka ujue, kumbe hukuunganisha dots eeeh?

Haha yeye penda penda while kaoshewa mnuka mnuka. Kazi ninayoYaani bora tu uone aibu.
Mtoto hapendeki afu sasa mbaya zaidi penda penda.
Hebu kaa nae chumbani, uanze nae Ba, Be, Bi kuhusu hao wakwezo
Hahahaaaaaa!! Eti penda penda, unadhani ningekuwa nimependa ningehangaika? Sitatulia hadi nitakapopenda, alafu nikipenda hata hutojua madam, utastuka tu yuleeeeeee!!Yaani bora tu uone aibu.
Mtoto hapendeki afu sasa mbaya zaidi penda penda.
Hebu kaa nae chumbani, uanze nae Ba, Be, Bi kuhusu hao wakwezo
Alisamehewa RRONDO a.k.a kakamegaRRONDO kumbe aliikuwa anataka kuongeza koloni. Jana kalazwa nje na Honey Faith..sijajua kama keshasamehewa au yu single
yupo kwenye foleni kuleee.
