Verossa

Verossa

umekuwaje tayana.
ila tumetoka nao mbali , sijui muhusika wa uzi yupo bado jukwaani hapa au alisha sahau password
Hahaa wame edit we si unaona...
Mhusika kwa maana ya mtunzi/mwandishi? Km ni huyo yupo sn , wa afya tele ...my crush 🤣🤣
 
Hahaa wame edit we si unaona...
Mhusika kwa maana ya mtunzi/mwandishi? Km ni huyo yupo sn , wa afya tele ...my crush 🤣🤣
ID yako ya zamani ilikuwa ni ipi Tayana😅, huu uzi umejaa characters wa zamani kama wote, sadly that wengi wameacha kutumia ID zao, sijui watakuwa wapi. Nyakati hupita kama upepo, 2013 ni juzi tu
 
ID yako ya zamani ilikuwa ni ipi Tayana😅, huu uzi umejaa characters wa zamani kama wote, sadly that wengi wameacha kutumia ID zao, sijui watakuwa wapi. Nyakati hupita kama upepo, 2013 ni juzi tu
Mwanzo nilikuwa natumia jina langu halisi....ndo baadae nikalitoa..

Yes wengine wengi wapo wanaingiq tu kuchungulia...hawako active km zamani
Huo mwaka nadhani ndo nilikuwa najiunga jf niko ladogo mwenyewe 🤣🤣🙌

Ht mi sbb nilikuwa mgeni so ht humu nadhani km nilichangia kwa kuchelewa
 
Back
Top Bottom