Verossa

Verossa

huyo mwalimu alikua jipu uchunguu


salamu gani sasa hiyoo...!!

Sijuii ila ilisaidia tukaanza kukremu miji mikuuu ili tusimuudhi! Tulikuwa tunampenda..mdada mwenyewe...mrefu hivi mwembamba...

...alafu uzuri wake ni somo linaloambatana na vitendo.

Hahah!

Hahahaaaaa!!! Umenikumbusha mwalimu wangu wa kiswahili drs la3, mkurya yule alitutandika siku moja, alituambia tutamke 'feza' basi nasi tunatamka 'feza' akarudia 'sema feza si feza' hapo ndio ikawa lugha gongana, tukarudia tena 'feza' weeeh tulikula stiki, kumbe lengo lake tuseme 'fedha'

Hahahahaha dah umenikumbusha stori ya Danny!

Danny alikuwa na makengeza, sio saaana, ila ili aone mbele vyema ilimlazimu akae upande kidogo!

Sasa kuna siku mwalimu wa hesabu alikuwa darasani na kulikuwa na kelele kidogo. Mwalimu alipogeuka akamuona Danny amekaa upande akajua yeye ndo anapiga kelele hivyo akamtaka angalie mbele. Danny akabaki vilevile -kiupande- maana akiwa hivyo ndo anaona mebel kiusahihi.

Mwalimu: "Danny, look at me!"

Danny: "Am looking at you sir"

Mwalimu: "Danny am not joking...look at me!"

Danny hana cha kufanya maana vile alivyokaa ndo anamwona mwalimu...huku sisi tunacheka balaa...mwalimu akakasirika kabisa akamwambia, "Danny! for the last time...look at me!"

Maskini Danny ikabidi akae wima kwenye dawati..shida ikawa akikaa vile anaona nje badala ya ubaoni...dah tulicheka sana ile siku...ilibidi baada ya kipindi waende na monitor kwa mwalimu kumuelezea.!
 
Sijuii ila ilisaidia tukaanza kukremu miji mikuuu ili tusimuudhi! Tulikuwa tunampenda..mdada mwenyewe...mrefu hivi mwembamba...



Hahah!



Hahahahaha dah umenikumbusha stori ya Danny!

Danny alikuwa na makengeza, sio saaana, ila ili aone mbele vyema ilimlazimu akae upande kidogo!

Sasa kuna siku mwalimu wa hesabu alikuwa darasani na kulikuwa na kelele kidogo. Mwalimu alipogeuka akamuona Danny amekaa upande akajua yeye ndo anapiga kelele hivyo akamtaka angalie mbele. Danny akabaki vilevile -kiupande- maana akiwa hivyo ndo anaona mebel kiusahihi.

Mwalimu: "Danny, look at me!"

Danny: "Am looking at you sir"

Mwalimu: "Danny am not joking...look at me!"

Danny hana cha kufanya maana vile alivyokaa ndo anamwona mwalimu...huku sisi tunacheka balaa...mwalimu akakasirika kabisa akamwambia, "Danny! for the last time...look at me!"

Maskini Danny ikabidi akae wima kwenye dawati..shida ikawa akikaa vile anaona nje badala ya ubaoni...dah tulicheka sana ile siku...ilibidi baada ya kipindi waende na monitor kwa mwalimu kumuelezea.!
atlas zile!!

nakumbuka maambiana ntaftie 'acraaa'
 
Sijuii ila ilisaidia tukaanza kukremu miji mikuuu ili tusimuudhi! Tulikuwa tunampenda..mdada mwenyewe...mrefu hivi mwembamba...



Hahah!



Hahahahaha dah umenikumbusha stori ya Danny!

Danny alikuwa na makengeza, sio saaana, ila ili aone mbele vyema ilimlazimu akae upande kidogo!

Sasa kuna siku mwalimu wa hesabu alikuwa darasani na kulikuwa na kelele kidogo. Mwalimu alipogeuka akamuona Danny amekaa upande akajua yeye ndo anapiga kelele hivyo akamtaka angalie mbele. Danny akabaki vilevile -kiupande- maana akiwa hivyo ndo anaona mebel kiusahihi.

Mwalimu: "Danny, look at me!"

Danny: "Am looking at you sir"

Mwalimu: "Danny am not joking...look at me!"

Danny hana cha kufanya maana vile alivyokaa ndo anamwona mwalimu...huku sisi tunacheka balaa...mwalimu akakasirika kabisa akamwambia, "Danny! for the last time...look at me!"

Maskini Danny ikabidi akae wima kwenye dawati..shida ikawa akikaa vile anaona nje badala ya ubaoni...dah tulicheka sana ile siku...ilibidi baada ya kipindi waende na monitor kwa mwalimu kumuelezea.!
Duuuh!!!
 
Back
Top Bottom