Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
You wotintWotinti yu?
You wotintWotinti yu?
Hahahaaaaa!! Haki hizi akili zishakuwa za w.end, nenda kanywe mama.Wana mihemko kama wanazama chumvini
I understand you ho. Afu huwezi amini nimefika tu form 5, nikaambiwa niandae speech, and niliongelea suala la wanafunzi kuchukulia hesabu kama somo lililoshindikana. Na wazazi nao honestly wana part yao kwenye kuwavunja mioyo watoto Na hesabu, mzazi ndo anakwambia aaah me hesabu hapana tu, ilinishinda. Mtoto naye anajijengea kuwa hili ni somo la kufail tu, hatoweka tena efforts kwenye hilo somo, kumbe walaaa. Basi I'm grateful maana naamini watoto Wangu hawataziogopa digits kama ambavyo mama yao sikuziogopa, (ingawa kuna topics nilizitenga mapemaaa kuwa sitohangaika kuzisoma na kwenye paper sitozichagua lol, yani niliamua tu kutozielewa mapemaa![]()
)
Ben C, daaaaah!!!
Kwaheri maana nataka tafsiri halafu unanisemesha tena kizungusaynt'nt what?
Haha me o-level ilikuwa circle and sphere. A-level ni coordinate geometry 2, yani hapana kabisa.Hahaha...kama tulikuwaga pamoja...mimi probability ni mojawapo ya topic niliyoamuaga kuiacha kabisa...kote o level na a level nikajichagulia topic zangu na maisha yakasonga...
Ben C ndo nani??!!!
Ila atoto wewe niseme tu ila ukweli wazazi (na HASA mama) wanachangia sana academic prosperity ya mtoto. Na sio lazima mzazi awe ameenda shule...hata kama hujui kusoma na kuandika lakini maneno yako yawe ya kumhimiza na kumtia moyo kutaka kujifunza zaidi. Usimwekee bias zozote, mwache awe free ku-explore. Akienda shule akakutana na watoto ambao wazazi wao wamewafundisha kuwa Hesabu ni ugonjwa wa taifa na masomo ya sayansi (mfano) ni kansa..akirudi nyumbani ni jukumu lako kuiondoa sumu hiyo akilini mwake.
Sasa wewe ukitoka kazini umbeya kwenye vikoba, baba mtu bar..halafu manatarajia mwanenu awe kipanga kisa nyie mlikuwaga vipanga...haiendagi hivyo!
Understoodnt it? NooooKwaheri maana nataka tafsiri halafu unanisemesha tena kizungu
hahaaaa!!pole sana km huna pesa demu mzuri anabaki kua shemej tuHivi hili shairi hamuwezi kuliingiza kwenye mitaala ya shule?
Cc: walimu wote gfsonwin, snowhite, Evelyn Salt atoto, geniveros, et al et al...
Kipindi hicho nilikuwa nimeumia kweli kweli...nilimpenda sana huyu binti, halafu akachukuliwa kirahisi tu na jamaa tena bila hata kutongozwa wala nini! dah those days...the future Mrs. Mentor!!!
Cc: Shark
hahaaaa!!pole sana km huna pesa demu mzuri anabaki kua shemej tu
waliwasilishe kwa watu wa mitaala!Aaah kuna wazazi wanajitambua acha kabisa, kuna mzazi mmoja huyo ana watoto wa4 hapa shuleni, yaani kdt cha 1 hadi 4, hawa watoto wanaongoza kwa vidato vyote, wana nidhamu na wanajituma kweli, ila mumewe alimkimbia akaenda kuoa mwanamke mwingine, na alikimbia na mtoto wa kiume wa kwanza(aliishia form 2)
Nilitamani kujua zaidi ni kwa namna gani anawalea wale wanae, aisee hadi raha.
Unajua hii kitu ya Mentor iligombanisha watu wizarani?
Ila jamani, mie mwenzenu sijui nataka nini aisee.
hahaaaa!!pole sana km huna pesa demu mzuri anabaki kua shemej tu
Tell them, mie sipo huko, nalitambua sana hilo na naitumia sana kwa wanangu na wanafunzi wangu, we hushangai kila mzazi alikuwaga namba moja darasani, hata kama alikuwa kimeo ila anakomaa tu, na watoto wanaamini baba/mama sio wa mchezo mchezo.Hahaha...kama tulikuwaga pamoja...mimi probability ni mojawapo ya topic niliyoamuaga kuiacha kabisa...kote o level na a level nikajichagulia topic zangu na maisha yakasonga...
Ben C ndo nani??!!!
Ila atoto wewe niseme tu ila ukweli wazazi (na HASA mama) wanachangia sana academic prosperity ya mtoto. Na sio lazima mzazi awe ameenda shule...hata kama hujui kusoma na kuandika lakini maneno yako yawe ya kumhimiza na kumtia moyo kutaka kujifunza zaidi. Usimwekee bias zozote, mwache awe free ku-explore. Akienda shule akakutana na watoto ambao wazazi wao wamewafundisha kuwa Hesabu ni ugonjwa wa taifa na masomo ya sayansi (mfano) ni kansa..akirudi nyumbani ni jukumu lako kuiondoa sumu hiyo akilini mwake.
Sasa wewe ukitoka kazini umbeya kwenye vikoba, baba mtu bar..halafu manatarajia mwanenu awe kipanga kisa nyie mlikuwaga vipanga...haiendagi hivyo!
Hizo lips ni za kuwa-chum madenti wako au za kumchum babu?
Hizo lips ni za kuwa-chum madenti wako au za kumchum babu?
atoto kaniharibia MTU walai tena...Nani huyo aloharibika?![]()
![]()
![]()
wewe hujioniMie sio mwalimu wa lugha mama, mie mwalimu ya sayansi kimu.Kuhusu ushairi ngoja nikusaidie walimu wa lugha km atotowaliwasilishe kwa watu wa mitaala!
Sio mbaya pia!Mie sio mwalimu wa lugha mama, mie mwalimu ya sayansi kimu.
I'm a good girl; jana, Leo na milele.![]()
![]()
wewe hujioni
my cousin ulikua bonge la mtuu!!
huyu atoto tu huyu!!

I'm a good girl; jana, Leo na milele.![]()
![]()
ndo maana nilijua tu!