Verossa

Verossa

Hebu siku mzazi akija umuulize anawaleaje wanae na sisi tupate cha kujifunza. Au uwaulize hao watoto wenyewe wakueleze si wakubwa?

Yaani nilivyo curious aisee nilishauliza kitambo na hufuatilia pia, hata watoto nshaongea nao sana tu.
 
Tell them, mie sipo huko, nalitambua sana hilo na naitumia sana kwa wanangu na wanafunzi wangu, we hushangai kila mzazi alikuwaga namba moja darasani, hata kama alikuwa kimeo ila anakomaa tu, na watoto wanaamini baba/mama sio wa mchezo mchezo.

Hahaha ila kweli..hata mimi wazazi wangu walikuwaga top three muda wote! Na sijawahi kuona matokeo yao...naamini tu!

Baba yangu alikuwa anapenda sana kutufundisha. Pamoja na ukali wake lakini ilitusaidia sana.

Kwa mfan hesabu..alikuwa anapenda kusema "Hesabu ni mchezo wa namba...It is just a game of numbers!" Ukipata swali anafurahiiiiiii basi na wewe unajiona bingwa kweli kweli!!!

Tunasoma tukimaliza tunaimba..infact, kipindi pekee tulikuwa tunamfurahia ni wakati akitufundisha tu maana huwa hachapi...ila mkimaliza hapo babaa...dah mara bustani, mara kazi za ndani, ng'ombe, ukitaka kucheza subiri mpaka uende shule! dah...

Mie sio mwalimu wa lugha mama, mie mwalimu ya sayansi kimu.

Umenikumbusha mabli na sayansi kimu...hivi hili somo siku hizi halijafutwa? Tulijifunza mambo mengi sana mazuri them dayz!!!
 
Mie Geography tu!

Mwalimu wetu wa Geography alikuwa anapenda kutuuliza miji mikuu ya nchi kila akiingia darasani. Shida sasa kumbukumbu zetu zilikuwa za panzi mwishowe akaja na salamu yake kila akiingia darasani, tunasimama tunasema;

"Wagumu kuelewa, wepesi kusahau...good morning madam!"

Ndipo soma linaendelea.
 
Mwalimu wetu wa Geography alikuwa anapenda kutuuliza miji mikuu ya nchi kila akiingia darasani. Shida sasa kumbukumbu zetu zilikuwa za panzi mwishowe akaja na salamu yake kila akiingia darasani, tunasimama tunasema;

"Wagumu kuelewa, wepesi kusahau...good morning madam!"

Ndipo soma linaendelea.
huyo mwalimu alikua jipu uchunguu


salamu gani sasa hiyoo...!!
 
Hahaha ila kweli..hata mimi wazazi wangu walikuwaga top three muda wote! Na sijawahi kuona matokeo yao...naamini tu!

Baba yangu alikuwa anapenda sana kutufundisha. Pamoja na ukali wake lakini ilitusaidia sana.

Kwa mfan hesabu..alikuwa anapenda kusema "Hesabu ni mchezo wa namba...It is just a game of numbers!" Ukipata swali anafurahiiiiiii basi na wewe unajiona bingwa kweli kweli!!!

Tunasoma tukimaliza tunaimba..infact, kipindi pekee tulikuwa tunamfurahia ni wakati akitufundisha tu maana huwa hachapi...ila mkimaliza hapo babaa...dah mara bustani, mara kazi za ndani, ng'ombe, ukitaka kucheza subiri mpaka uende shule! dah...



Umenikumbusha mabli na sayansi kimu...hivi hili somo siku hizi halijafutwa? Tulijifunza mambo mengi sana mazuri them dayz!!!
Yaani wazazi walikuwa wajanja sana! Sio wa siku hizi bora liende, mtoto akiuliza swali atajibiwa 'hivi ada nalipa na maswali naulizwa'
Hili somo sidhani kama lipo tena, nakumbuka tulivyofundishwa jinsi ya kujisafisha watoto wa kike,namna ya kufua,kupiga pasi,kushona kwa mikono,kufanya uafi wa mazinhira nk nk
Lilikuwa somo tamu sana, alafu uzuri wake ni somo linaloambatana na vitendo.
 
Mwalimu wetu wa Geography alikuwa anapenda kutuuliza miji mikuu ya nchi kila akiingia darasani. Shida sasa kumbukumbu zetu zilikuwa za panzi mwishowe akaja na salamu yake kila akiingia darasani, tunasimama tunasema;

"Wagumu kuelewa, wepesi kusahau...good morning madam!"

Ndipo soma linaendelea.
Hahahaaaaa!!! Umenikumbusha mwalimu wangu wa kiswahili drs la3, mkurya yule alitutandika siku moja, alituambia tutamke 'feza' basi nasi tunatamka 'feza' akarudia 'sema feza si feza' hapo ndio ikawa lugha gongana, tukarudia tena 'feza' weeeh tulikula stiki, kumbe lengo lake tuseme 'fedha'
 
Back
Top Bottom