Verossa

Verossa

Aaah kuna wazazi wanajitambua acha kabisa, kuna mzazi mmoja huyo ana watoto wa4 hapa shuleni, yaani kdt cha 1 hadi 4, hawa watoto wanaongoza kwa vidato vyote, wana nidhamu na wanajituma kweli, ila mumewe alimkimbia akaenda kuoa mwanamke mwingine, na alikimbia na mtoto wa kiume wa kwanza(aliishia form 2)

Nilitamani kujua zaidi ni kwa namna gani anawalea wale wanae, aisee hadi raha.
Kudos to that momma. Ukiwa na mzazi anayejitambua, inasaidia sana mtoto kujitambua pia. Siku moja jaribu kumuuliza. Huyo mume nisimuongelee tu maana nishafura hapa
 
Kudos to that momma. Ukiwa na mzazi anayejitambua, inasaidia sana mtoto kujitambua pia. Siku moja jaribu kumuuliza. Huyo mume nisimuongelee tu maana nishafura hapa
Huko alikoenda wa kwanza ndio huyo aliishia kdt cha2, wa pili aliishia la6, huyo wa 3 yuko la3 sijui huko mbele. Mungu wa sasa ni kijana,hacheleweshi.

Yaani hivyo vitoto navipenda hadi vinajua so vikiwa na shida havisiti kuniambia nami yaani sisiti kuvisaidia, mmoja nilimuahidi akifaulu somo langu na kupata kuanzia 90 namlipia study tour, yaani nilitafuta makosa ili ipungue asifikie 90 nikakosa ikabidi tu nimpe haki yake.

Kuna watoto sio wa mchezo mchezo.
 
Huko alikoenda wa kwanza ndio huyo aliishia kdt cha2, wa pili aliishia la6, huyo wa 3 yuko la3 sijui huko mbele. Mungu wa sasa ni kijana,hacheleweshi.

Yaani hivyo vitoto navipenda hadi vinajua so vikiwa na shida havisiti kuniambia nami yaani sisiti kuvisaidia, mmoja nilimuahidi akifaulu somo langu na kupata kuanzia 90 namlipia study tour, yaani nilitafuta makosa ili ipungue asifikie 90 nikakosa ikabidi tu nimpe haki yake.

Kuna watoto sio wa mchezo mchezo.
Haha kama ambavyo wazazi wao si wa mchezo mchezo, Mungu awatangulie tu. Hehe eti Mungu wa sasa ni kijana, hacheleweshi
 
Jamani hadi raha. Mungu aendelee kuwashindia na azidi kumbariki mama yao


Atusamehe tu yani
Amen. Yaani sijawahi hata kuvigusa maana utamchapa kwa kosa gani!! Hicho cha kike ndio kikiona fimbo kinahisi kuzimia, na vinapendana kweli. Kweli ukiwapenda,kuwajali,kuwaheshimu na kuwathamini watoto bila kuwabagua nao watatendeana the same.
 
Amen. Yaani sijawahi hata kuvigusa maana utamchapa kwa kosa gani!! Hicho cha kike ndio kikiona fimbo kinahisi kuzimia, na vinapendana kweli. Kweli ukiwapenda,kuwajali,kuwaheshimu na kuwathamini watoto bila kuwabagua nao watatendeana the same.
Siku hiziiii, no wonder ni matron
 
Miguu mi4 haijalishi imekaa kwenye mawe muda gani ikiingia tu barabarani inakuwa inside a verossa
 
Siku hiziiii, no wonder ni matron

Amen. Yaani sijawahi hata kuvigusa maana utamchapa kwa kosa gani!! Hicho cha kike ndio kikiona fimbo kinahisi kuzimia, na vinapendana kweli. Kweli ukiwapenda,kuwajali,kuwaheshimu na kuwathamini watoto bila kuwabagua nao watatendeana the same.

Nyie wadada kwa kupenda kuharibu uzi mpo vizuri
 
Back
Top Bottom