ila kwani wewe ile PHD yako ya international conflict resolution hujamaliza?
Kongosho yuko hapo chini!muite ana weza kukadiria mimba ina dakika ngapieeeeeeeeeee mabwaku, i think i need :help:, hivi mimba yangu ni ya miezi mingapi vile? Asprin mkunga anataka kujua calender, uje pande hii upige mahesabu!
uwiiiiiiiiiiii hivi we ni mwalimu mkuu wa shule gani tena?? mapacha wamemaliza nursery ujue, nataka niwalete huko!
aache ujivuni! akumbuke kuwa yeye ndiye haswaaaa mke mkubwa!konnie toka aanze kuweka less wig amekuwa mringi sana
nina sup za kutosha! ni janga. na cuo cha diplomasia kurasini wamenitosa!ila kwani wewe ile PHD yako ya international conflict resolution hujamaliza?
maliza haraka bana!mwakani kuna naniihii ujue,i mean mwakani Asprin atakuwa na verossa sasa nataka ujiandae kabisa kujisuluhisha mwenywe kabla hujapresent ,sawa?
upo? za kinoclain?Mwaahh!!!
Dah!
upo? za kinoclain?
m-pm amu na mentor! mie nipo tu hapa nafurahia jamvi na Asprin et al! mzima lakini?Nipo shoga e!
Nawaangalia tu na kaka zenu mnavoshusha vina vya majanga!
Naomba ukitaka kusutwa,uniite.
Afu shosti sikuelewi ujue...nina hamu ya kuja Pm unipe umbea, lakini naogopa.
Nina maswali ya uzushi yamejaa gunia!