Verossa

Verossa

Cc: Nivea, cacico, Asprin, Kaizer, KakaKiiza, amu Paloma snowhite na wote ambao hamkunisoma vyema

YAH: Rejea maneno in BOLD ITALICS UNDERLINED RED

Lift alipewa yeye, kupanda alipanda yeye, uroda alipewa yeye
kwanini kele nipige mie?

kwa sababu...

kutongoza nilitongoza mie, kukubaliwa nilikubaliwa mie, kusaidiwa kazi nikasaidiwa mie
Kwa nini nisipige kelele?

Sasa jiulizeni kwanini...

thread nianzishe mie, tena yanihusu mie, kutoa onyo kwenu nyie
kelele mzipige nyie?

Inahuu...

ahahahhahahha sasa shemeji hebu kaa chini kwanza uniambie bana! Kaizer na Asprin please hebu niacheni nilonge na shemeji yangu!
mke mwenza uwe unanisaidiamo kusoma!
SASA shemeji kwani wewe ulimtongoza AU/ukamkula a fine MRS ME!? Asprin shiiip kwayat!
 
Last edited by a moderator:
Tunaweza kujua ajenda za kikao na nani mwenyekiti?

natamanije sasa mimi kuwa mwenyekiti!
ehehhehehhe hii itanipa wasaaa na fursa kama sio nafasi ya kumuuliza mmoja mmoja chemba!
KWANI KUNA NINI! Kaizer pigemo basi kampeni niwe mwenyekiti!takuletea nukuu za somo darsani!
af nahisi CA yako itaimprove baada ya hili somo,hakyamama vile!
 
Last edited by a moderator:
Mhmm huu mchezo ni mbaya naona sitaki kuucheza maana hapa naona zauso mimi nitaendeaga kunya zapa>>>nzaz cacico atanitafutia!!ila wewe bazazi Asprin unajua makitu hii halafu hunitonyi nimesikia hata dabokibini yako inahusika!!CC watu8, Madame B

Hahahahah umemsoma Paloma lakini? Dabokebin ni mlori bana, mabinti wachangamkie vitz, starlet na verossa.

BTW mbona nakuona kama unamnyemelea mke wa ujana wangu cacico we bazazi. Hao uliowadengua hawajakutosha? Naskia una kismati sana ukitongoza hukataliwi. Ila kwa mai waif umegonga mwamba, funguo za papuchi yake natembea nazo.

Yuziful post hii aisome homuboi wangu Kaizer.
 
Last edited by a moderator:
ahahahhahahha sasa shemeji hebu kaa chini kwanza uniambie bana! Kaizer na Asprin please hebu niacheni nilonge na shemeji yangu!
mke mwenza uwe unanisaidiamo kusoma!
SASA shemeji kwani wewe ulimtongoza AU/ukamkula a fine MRS ME!? Asprin shiiip kwayat!

Ayam siting daun senkyu tichaaaa

Mabata madogodogo yanaogelea katika shamba zuri la bustaniiiiii

Haya tudevelop..... Mentor mwaga vina, amu shusha mistari, cacico kam zis wei, Kaizer where are u @,
KakaKiiza nipigieeeee snowhite.... Development na hoja umbea....

Ni mimi tu ODM nimebakia, ni mimi tu kuwaletea habari
 
Last edited by a moderator:
natamanije sasa mimi kuwa mwenyekiti!
ehehhehehhe hii itanipa wasaaa na fursa kama sio nafasi ya kumuuliza mmoja mmoja chemba!
KWANI KUNA NINI! Kaizer pigemo basi kampeni niwe mwenyekiti!takuletea nukuu za somo darsani!
af nahisi CA yako itaimprove baada ya hili somo,hakyamama vile!

hii ni vere uzifuk post snowhite! lol
 
Last edited by a moderator:
Hahahahah umemsoma Paloma lakini? Dabokebin ni mlori bana, mabinti wachangamkie vitz, starlet na verossa.

BTW mbona nakuona kama unamnyemelea mke wa ujana wangu cacico we bazazi. Hao uliowadengua hawajakutosha? Naskia una kismati sana ukitongoza hukataliwi. Ila kwa mai waif umegonga mwamba, funguo za papuchi yake natembea nazo.

Yuziful post hii aisome homuboi wangu Kaizer.


received, read and FILED for future use kwen chama....
 
Ayam siting daun senkyu tichaaaa

Mabata madogodogo yanaogelea katika shamba zuri la bustaniiiiii

Haya tudevelop..... Mentor mwaga vina, amu shusha mistari, cacico kam zis wei, Kaizer where are u @,
KakaKiiza nipigieeeee snowhite.... Development na hoja umbea....

Ni mimi tu ODM nimebakia, ni mimi tu kuwaletea habari
good boy!
ila umesahau kumwita nani hii!ah mi nakasirikaga mimi wakti mwingine naskia kiu kama nini!
ah!basi tu!
af wewe nataka kuja kwenye ile roshani yako ya kimbiji!
sinifanyie hivo bana!mi na we hatujakutana barabarani ujue!
well enhe where was I?
hiv niliishia wapi vile!
 
received, read and FILED for future use kwen chama....

chama cheni ni kikubwa sana i see!MNO!
kha!
mnakaribia kuanzisha jeshi ujue!!ah sorry mnakaribia kuwa na kikosi cha kujilinda!kuwa na jeshi ni ukiukwaji wa haki za binadamu na rasimu ya katiba !
 
Ayam siting daun senkyu tichaaaa

Mabata madogodogo yanaogelea katika shamba zuri la bustaniiiiii

Haya tudevelop..... Mentor mwaga vina, amu shusha mistari, cacico kam zis wei, Kaizer where are u @,
KakaKiiza nipigieeeee snowhite.... Development na hoja umbea....

Ni mimi tu ODM nimebakia, ni mimi tu kuwaletea habari


Hommie Asprin, hakika nakwambia hatawika jimbi kabla hujamkana mtu mara tatu? Wewe si nilikuona naye Galilaya?
 
Last edited by a moderator:
Ayam siting daun senkyu tichaaaa

Mabata madogodogo yanaogelea katika shamba zuri la bustaniiiiii

Haya tudevelop..... Mentor mwaga vina, amu shusha mistari, cacico kam zis wei, Kaizer where are u @,
KakaKiiza nipigieeeee snowhite.... Development na hoja umbea....

Ni mimi tu ODM nimebakia, ni mimi tu kuwaletea habari
Nasikia hata lidabokibini nalo linasoo!!CC cacico, Madame B, amu mwaa!!
 
Last edited by a moderator:
chama cheni ni kikubwa sana i see!MNO!
kha!
mnakaribia kuanzisha jeshi ujue!!ah sorry mnakaribia kuwa na kikosi cha kujilinda!kuwa na jeshi ni ukiukwaji wa haki za binadamu na rasimu ya katiba !

wakati tunazungumzia reality on the ground miaka kama minne iliyopita, hadi tukawa na katiba yetu, watu walidhani siye 'hatumalizi 2013' kama CDM (well hata CDM naona watafika 2015)

leo hii, watu 'wanagombea' kuingia! tena basi kwa fujo...ndo hapo imebidi kuanzisha kikosi cha kujilinda.....I mean sio brigade in the strict sense....umenisoma mwalimu wangu snowhite?

Hii aione Asprin, Teamo, The Boss, RR Fidel80, MwanajamiiOne na wengineo

BCC cacico
 
Last edited by a moderator:
wakati tunazungumzia reality on the ground miaka kama minne iliyopita, hadi tukawa na katiba yetu, watu walidhani siye 'hatumalizi 2013' kama CDM (well hata CDM naona watafika 2015)

leo hii, watu 'wanagombea' kuingia! tena basi kwa fujo...ndo hapo imebidi kuanzisha kikosi cha kujilinda.....I mean sio brigade in the strict sense....umenisoma mwalimu wangu snowhite?

Hii aione Asprin, Teamo, The Boss, RR Fidel80, MwanajamiiOne na wengineo

BCC cacico
Mwenyekiti kuna mtu anitaji kadi? Wapi Mdhamini wa Chama Bigirita
 
Last edited by a moderator:
wakati tunazungumzia reality on the ground miaka kama minne iliyopita, hadi tukawa na katiba yetu, watu walidhani siye 'hatumalizi 2013' kama CDM (well hata CDM naona watafika 2015)

leo hii, watu 'wanagombea' kuingia! tena basi kwa fujo...ndo hapo imebidi kuanzisha kikosi cha kujilinda.....I mean sio brigade in the strict sense....umenisoma mwalimu wangu snowhite?

Hii aione Asprin, Teamo, The Boss, RR Fidel80, MwanajamiiOne na wengineo

BCC cacico

ahahahhahahaha NALIKUWAPO UNGALI HUNA MAWAA!lol!
 
yaani kijana wangu Kimey watu wanagombea kadi kama hawana akili nzuri vile! Hapa hata mwigulu anaona wivu? Chezeya maverosa wewe?
Ukiona hivyo mwenyekiti ujue kua uongozi wako ni mzuri tuongeze tu masharti ya kujiunga lol
 
Back
Top Bottom