Mchakato umeanza mkuu.....umeanza....amini amini!
wakati tunazungumzia reality on the ground miaka kama minne iliyopita, hadi tukawa na katiba yetu, watu walidhani siye 'hatumalizi 2013' kama CDM (well hata CDM naona watafika 2015)
leo hii, watu 'wanagombea' kuingia! tena basi kwa fujo...ndo hapo imebidi kuanzisha kikosi cha kujilinda.....I mean sio brigade in the strict sense....umenisoma mwalimu wangu snowhite?
Hii aione Asprin, Teamo, The Boss, RR Fidel80, MwanajamiiOne na wengineo
BCC cacico
Last edited by a moderator: