Verossa

Verossa

Mchakato umeanza mkuu.....umeanza....amini amini!


wakati tunazungumzia reality on the ground miaka kama minne iliyopita, hadi tukawa na katiba yetu, watu walidhani siye 'hatumalizi 2013' kama CDM (well hata CDM naona watafika 2015)

leo hii, watu 'wanagombea' kuingia! tena basi kwa fujo...ndo hapo imebidi kuanzisha kikosi cha kujilinda.....I mean sio brigade in the strict sense....umenisoma mwalimu wangu snowhite?

Hii aione Asprin, Teamo, The Boss, RR Fidel80, MwanajamiiOne na wengineo

BCC cacico
 
Last edited by a moderator:
Uwe makini tu mana mie naweza ndio nikawa mkaguzi mkuu nikakukagua kisawasawa,

Sorry nimesahau ............................kumbe mtu mzima hatishiwi nyau lol!


I am the only authorised dealer wa ukaguzi baada ya Asprin kustaafu.

EPUKA VISHOKA....

Copy: Baba V
 
Last edited by a moderator:
toyota_verossa_a1213043429b1806254_orig.jpg kitu safi
 
Uwe makini tu mana mie naweza ndio nikawa mkaguzi mkuu nikakukagua kisawasawa,

Sorry nimesahau ............................kumbe mtu mzima hatishiwi nyau lol!

hahahaha wewe.....come zis way fasta nemic4u
 
Last edited by a moderator:
snowhite, umeniita shemeji!?? kwa dada yako yupi ulonioza kwake???! usinchurie...

baki to topic...

Ni hivi,

huyu binti somebody alikuwa wangu bikoz ni mimi nilimrushia mistari...
miezi kadhaa baadaye akanambia nimem-mimba...
ngastuka! mbona tulitumia chujio kumimina chai kwenye thermos, iweje chai bado iwe na machicha...
kuchunguza vyema nikagundua kuna jamaa mwenye verossa alifanya mambo...
nikaona nijiweke pembeni kuepuka msongamano...
mie mwenyewe daily nagongea lift ya Remmy na Paloma

sasa basi...

katika machungu hayo nikakaa chini nikaandika beti hizi mbili tatu...
nikagundua yafuatayo...

kumbe verossa imebeba wengi zaidi ya huyu dada yako niliyemtongozaga...
kumbe si verossa peke yake hata cellica inahusika...
ala! hadi vits, duet na bajaji... watu8 akasema, kuna nguvu ya uvutano kati ya jinsia -ke na vyombo vyenye matairi...
chips mayai tu zinatosha...

dada yako huyu alikuwa awe mrs. Mentor hapo mbeleni, ndiyo maana nikaandika 'a future Mrs. Me'...


kimbembe...

watu wakaanza kusemana na kutajana...

sasa kuniondolea mimi lawama waulize wafuatao: amu, Asprin, Paloma, KakaKiiza, Kaizer, cacico, shem Nivea (tena unitake radhi), Nicas Mtei, Bi Suu, Kimey, Mtambuzi mimisa et al...

Verossa....

ish!
sasa mara hii dadangu amekuwa uchuro
afanaleki kufa hakuna breki
post hii
imfikie Asprin kwa hisani ya nke wa ujana wake cacico
 
Last edited by a moderator:
snowhite, umeniita shemeji!?? kwa dada yako yupi ulonioza kwake???! usinchurie...

baki to topic...

Ni hivi,

huyu binti somebody alikuwa wangu bikoz ni mimi nilimrushia mistari...
miezi kadhaa baadaye akanambia nimem-mimba...
ngastuka! mbona tulitumia chujio kumimina chai kwenye thermos, iweje chai bado iwe na machicha...
kuchunguza vyema nikagundua kuna jamaa mwenye verossa alifanya mambo...
nikaona nijiweke pembeni kuepuka msongamano...
mie mwenyewe daily nagongea lift ya Remmy na Paloma

sasa basi...

katika machungu hayo nikakaa chini nikaandika beti hizi mbili tatu...
nikagundua yafuatayo...

kumbe verossa imebeba wengi zaidi ya huyu dada yako niliyemtongozaga...
kumbe si verossa peke yake hata cellica inahusika...
ala! hadi vits, duet na bajaji... watu8 akasema, kuna nguvu ya uvutano kati ya jinsia -ke na vyombo vyenye matairi...
chips mayai tu zinatosha...

dada yako huyu alikuwa awe mrs. Mentor hapo mbeleni, ndiyo maana nikaandika 'a future Mrs. Me'...


kimbembe...

watu wakaanza kusemana na kutajana...

sasa kuniondolea mimi lawama waulize wafuatao: amu, Asprin, Paloma, KakaKiiza, Kaizer, cacico, shem Nivea (tena unitake radhi), Nicas Mtei, Bi Suu, Kimey, Mtambuzi mimisa et al...

Verossa....
we mwana we! watoto wabaya sana nyie! mmmmmhhhhhh pole zake bi suuu!
 
ish!
sasa mara hii dadangu amekuwa uchuro
afanaleki kufa hakuna breki
post hii
imfikie Asprin kwa hisani ya nke wa ujana wake cacico

Umenielewa lakini...??!

Ivi dada ako ni yupi maana na mm nshapita kwingi naogopa kutaja jina nkawa nshakosea...
 
Last edited by a moderator:
ish!
sasa mara hii dadangu amekuwa uchuro
afanaleki kufa hakuna breki
post hii
imfikie Asprin kwa hisani ya nke wa ujana wake cacico
hakika mke mwenza nimeamini watu wabaya sana! tunda alilila tena kwa miguno! leo anammwaga mwenzie hadharani mchana kweupeeeeeeeee na simba akizaa! mkemwenza niambie mabasi ya kuja kwenu, asubuhi nitafika kuchukua mhutasari wa hii madiskasheni! Asprin mimi ni wako hata ukikosa verossa!
 
hakika mke mwenza nimeamini watu wabaya sana! tunda alilila tena kwa miguno! leo anammwaga mwenzie hadharani mchana kweupeeeeeeeee na simba akizaa! mkemwenza niambie mabasi ya kuja kwenu, asubuhi nitafika kuchukua mhutasari wa hii madiskasheni! Asprin mimi ni wako hata ukikosa verossa!
ahahahhahahhahah watu wana roho za paka asee
huyu asupurini huyu!kwa kweli mke mwenza usimwache hata kwa greda!
 
Umenielewa lakini...??!

Ivi dada ako ni yupi maana na mm nshapita kwingi naogopa kutaja jina nkawa nshakosea...
dadake ni Bi Suu! ni mimi tu! ni mimi wa kuwaleteeni habari! hivi snowhite umenionea wapi gfsonwin, muite harakaaaaaaaaa kwa muhtasari wa hii makitu! mwambie Bi Suu kaumbuliwa mchana kweupeeeeeeee, kabla hata kongamano la waheshimiwa halijahitimishwa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom