nemic4u
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 445
- 300
hapa kiroho safeeey kabisa nenda kwa amani.....:wave:
Kumbe una roho mbaya kiasi hichi hata kunitonya kwamba thread imerudishwa? haya bana hamna shida!
hapa kiroho safeeey kabisa nenda kwa amani.....:wave:
Uwe makini tu mana mie naweza ndio nikawa mkaguzi mkuu nikakukagua kisawasawa,
Sorry nimesahau ............................kumbe mtu mzima hatishiwi nyau lol!
RR na wewe unalo verossa?
Verossaloooooooool...........! nini hiki:bored:
Msomali kang'angania na boxer yangu hataki kurudisha...sijui haikauki tu!!!!!
Wilco..out!
hahahahaaaa........nimecheka kwa nguvu uuuuwi!!!
halafu na lile shati unajua mama gesi akilivaa anasifiwajee.....halirudi lile! utaniambia!
Bei yake wanamtwara wataiweza lakini!?? la sivyo alilipie tu mwenyewe in kind!
Halafu ile dinner si itapoa...tarehe ndo zinasonga ujue!!!!
jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiii
unaniudhi coz umelala nayo tu huko unafikiri inajipika?!?!!?
this sunday sawa? hopefully dr levy iwont be there?
Ndo umemaanisha nini!??
Umesound kama clip moja ya binti wa kisambaa nlitumiwa kwenye watsapp!
This Sunday!?? Kwani Mtwara washaacha kugoma?