Verossa

Verossa

m-pm amu na mentor! mie nipo tu hapa nafurahia jamvi na Asprin et al! mzima lakini?

aiseee kwa hiyo mimi ndo nina pm za umbea???
Nyie ongeeni huko anayeona nimeandika pm ya umbea aomba afowadiwe kisha aniniforwadie mie baada ya hapo ndo tutaongea ila maneno matupu kelele a debe sizitaki.
CC Mentor KakaKiiza snowhite Nivea gfsonwin snowhite na simu za kifala za kujihisi hisi sizitak.
Nimemaliza karibuni juice ya ndimu
 
Last edited by a moderator:
aiseee kwa hiyo mimi ndo nina pm za umbea???
Nyie ongeeni huko anayeona nimeandika pm ya umbea aomba afowadiwe kisha aniniforwadie mie baada ya hapo ndo tutaongea ila maneno matupu kelele a debe sizitaki.
CC Mentor KakaKiiza snowhite Nivea gfsonwin snowhite na simu za kifala za kujihisi hisi sizitak.
Nimemaliza karibuni juice ya ndimu
KITAFUNIO FUNZA WA MAITI! :tape: :tape:, KAZI IPO! amu HUJAMBO MDOGO WANGU!
 
Last edited by a moderator:
Hommie nipo hapa, huu mthread ukijadiliwa na baraza la kata.....Hapa rasimu ya katiba itapendekeza serikali ngapi?

haaa tatizo bara hawataki muungano, na visiwani hawautaki, na hata Muungano wenyewe haujui unataka nini......kwa hiyo idadi ya serikali hapo ni #majanga
 
haaa tatizo bara hawataki muungano, na visiwani hawautaki, na hata Muungano wenyewe haujui unataka nini......kwa hiyo idadi ya serikali hapo ni #majanga
Baada ya kusema hayo, unaweza nithibitishia hapa kuna mtu atatakata bafuni?
 
kwani kidogo? Sijui kwa nini sijalala hadi saa hizi...umemwona hommie wangu Asprin apo juu? Msalimie. Haoa mimi na:tape:
Yani dogo kapiga biti mods hoi halafu huyo hommie wako Ana kesi na mimi wemuache ajitoe fahamu maana naona lidabokibini linashika chat kwa leo tupo hapa pub!!ngoja natalisubiria hapa kwangu niliwekee miiba ya mbigiri za kizungu!Umesikia Asprin
 
Last edited by a moderator:
Yani dogo kapiga biti mods hoi halafu huyo hommie wako Ana kesi na mimi wemuache ajitoe fahamu maana naona lidabokibini linashika chat kwa leo tupo hapa pub!!ngoja natalisubiria hapa kwangu niliwekee miiba ya mbigiri za kizungu!Umesikia Asprin
Hahahahaahahahaah nimecheka kwa sauti mbele ya bia baridi.....

rudi nyuma yangu shetani.........
Sasa waeza mruhusu mtumishi wako nienende kwa amani, kwa kuwa macho yangu yamemwona Bwana?
 
Hahahahaahahahaah nimecheka kwa sauti mbele ya bia baridi.....

Sasa waeza mruhusu mtumishi wako nienende kwa amani, kwa kuwa macho yangu yamemwona Bwana?

hapa kiroho safeeey kabisa nenda kwa amani.....:wave:
 
KakaKiiza ukome kuniita dogo...kwa experience zangu nahisi twalingana umri. btw nowadayz unatumia usafir gani...
Asprin, shikamoo babu mshikwa sharubu...

shem Kaizer, dada zangu wazima lakini? au kazi yako kumimbisha wake wa homu boiz wako!???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom