RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,678
- 129,264
Kuna milipuko mikubwa imetokea mji mkuu wa Venezuela, Caracas. Inaelekea wizara ya ulinzi imeshambuliwa. Bado taarifa rasmi kuhusu shambulio hilo hazijatolewa.
😅 Yani ungekuwa unakamatika , angekubanika kama ndafu na kula nyama yako kidogo kidogo. Sio Kwa mawe unayompigaKombora lingine likagonge pale alipo manyonyo
Nasikia anajificha kizimkazi🐷Kombora lingine likagonge pale alipo manyonyo
Mm kukamatika n suala la muda tuu, siku mbili tatu msiponiona humu ujue Ndo kwa heri, mana mm sio maarufu hvy hamtoniona mitandaoni nikitangazwa nimetekwa 😂😅 Yani ungekuwa unakamatika , angekubanika kama ndafu na kula nyama yako kidogo kidogo. Sio Kwa mawe unayompiga
Hataki kukaa kwenye ardhi ya wapiga kura wake 31M 😂Nasikia anajificha kizimkazi🐷
Ila TISS na Jakaya watakwenda motonii.Hataki kukaa kwenye ardhi ya wapiga kura wake 31M 😂
Ila nguruwe tamuu🚮🚮🚮🚮
Kapigwa pumbu Sana Au Sio 😂Ila TISS na Jakaya watakwenda motonii.
Hivi unafahamu alikuwa karani shilika la reli pale Tabora watu wamajiweka sana.
Kapigwa pumbu Sana Au Sio 😂
Kwanini China, Iran, Urusi, NKorea hawasaidiii?Hii itakuwa USA tu. Trump kapiga mkwala sana. USA waonevu sana.