VC wa UDSM, Prof. Anangisye ameachana na ukapera

1996 alienda Uingereza kufanya Phd au kazi nadhani sina uhakika sana, sasa alienda na shemeji, ulipofika muda wa kurudi shemeji alishakua na kazi huko pia ,akagoma...nadhani aliolewa huko tena
Dah,,

So sad.

Wanawake hawa.
 
Back
Top Bottom