Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,137
Naunga mkono hoja, lipitishwe kuwa vazi la taifa kwa wanawake wote!
yaani kujifunga mtandio niwe nao makini maana naweza kuwa nimefika ITV mtandio umedondokea Mwenge haa haaaHehehehe jifunge na mtandio mamii
Aisee mtu kawewe burudani sana kuangaliwa ukiwa unapita huku huku.yaani kujifunga mtandio niwe nao makini maana naweza kuwa nimefika ITV mtandio umedondokea Mwenge haa haaa