Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
unaposema front hapafungi inamaanisha nini?
hapa mbele hapaungi.....yaan hapafungi upande wa khanga haukutan😣 means utembelee ndan tu usitoke nje
unaposema front hapafungi inamaanisha nini?
duh! nimeshapata picha ulivyo umbo namba 8 hapo kweli lazima isifunge maana unaonekana ni chibonge bonge kimtindo.hapa mbele hapaungi.....yaan hapafungi upande wa khanga haukutan means utembelee ndan tu usitoke nje
duh! nimeshapata picha ulivyo umbo namba 8 hapo kweli lazima isifunge maana unaonekana ni chibonge bonge kimtindo.
Hehehehee kwan kitenge inatofautiana nin na kanga lakin unao wa kuvalia dera mamaaDera au kitenge
Khanga ndogo kitenge kinakua kikubwa hasa matenge Yale ya zamaniHehehehee kwan kitenge inatofautiana nin na kanga lakin unao wa kuvalia dera mamaa
Hahahahahah umenikumbusha mbali nimecheka sanaNikimkosea mume mara moja sana navua nguo navaa khanga...anaishia kusema usirudie tena..mie haya
Wewe utakuwa na Transformer sio bure!!!zna udogo khanga mkuu..
Wewe utakuwa na Transformer sio bure!!!
Hapo sasa ni weekend, kitu kimetulia hivi.....alaa unde wapi mwanaume tena......!! ha ha ha
View attachment 1163292
We nawe ni mwanamke kumbeMimi nalipenda sanaaaa
Transformer ni Msambwanda au wezere au kinikia kwa lugha yetu sie wajuba toka uboyzn!!!means Ngwengwe
Sa mi mwenzako nlkua najua kanga na kitenge ndo walewaleKhanga ndogo kitenge kinakua kikubwa hasa matenge Yale ya zamani
Ningekua na kamwili unadhani ningevaa hayo madira?
Ni tofauti kidogoSa mi mwenzako nlkua najua kanga na kitenge ndo walewale
Huyu dada maarufu uko insta ni mke wa mtu?Huyu demu ni mke wa soja, kipindi Cha nyuma alikua anaishi Kota za mabatini. Amezaliwa wilaya ya magu. Nilishawahi kumgegeda miaka hiyo akigombania shidano la miss orange tree pale mabatini mwanza.
Ah ah ah sis ww kibonge kidogo bas kama haikutoshi,unavaaga nn home? ila mie napenda mtandio zaidi..kuna mitandio ya mtumba mizuri mikubwa..mie khanga hazifung vzr hapa front..ila navaa hvyhvy..vitenge mie spend kbs...vikubwa mnoo
Ah ah ah sis ww kibonge kidogo bas kama haikutoshi,
Hongera usibongeke had ukashindwa vaa tenge pia, tutakupeleka kiwandani sasaChibo chiboo chibonge mtu mbyaaa...!haifung..n!chofanya najifungaga shingon km beki 3 vile🙌
Hongera usibongeke had ukashindwa vaa tenge pia, tutakupeleka kiwandani sasa
Hongera usibongeke had ukashindwa vaa tenge pia, tutakupeleka kiwandani sasa