Van De Beek 'VDB' anaenda kucheza nafasi ya nani Man Utd?

Sawa mkuu
Lakini angalia stats za hazard unaweza amini hazard leo anaanza mechi na unaweza usijue kama yupo?
Angalia stats za Bale lakini leo bale hata bench hakai
Angalia stats za Bakayoko lakini alichemka chelsea
Angalia stats za Depay kipindi anakuja man u lakini alichemka
Angalia stats za soldado lakini alichemka vibaya
Angalia za keita lakini leo hapati nafasi liverpool
Mifano ni mingi sana

Hizi stats mara nyingi zinategemeana na mchezaji anacheza wapi na aina ya wachezaji alio nao kwenye timu.
Hahaha wewe jamaa kumbe upo serious katika hili unalopinga!!?

Kwahiyo kwakua kuna players wamefeli kwingine na wakafaulu kwingine ndiyo tunasema ligi aliyoshine ni kinabo kwakua kwenye ligi nyingine alifubaa?

Hahaha dah hatari mzee hoja zako ni noma.

Enhe unajua Kua Bruno Fernandes kamzidi mbali mno Scott? Na unajua ligi na timu anayotokea Fernandes? So unataka kusema ligi ya Ureno inalingana ubora na epl? Na imeiacha mbali kwa ubora eredivisie?

Last time kuona klabu ya Ureno ikishandania trophy ya level ya dunia ni lini?

Kama skauti wangekua hawashughuliki na takwimu Haaland asingekuepo BVB, Mbape asingekuepo PSG, Neymar asingefika Barca, Suarez asingeenda Liva, Auba angekua Rennes bado...

Kitu kikubwa katika mpira unataka kukielezea kimasihara.
 
Sawa mkuu
Lakini angalia stats za hazard unaweza amini hazard leo anaanza mechi na unaweza usijue kama yupo?
Angalia stats za Bale lakini leo bale hata bench hakai
Angalia stats za Bakayoko lakini alichemka chelsea
Angalia stats za Depay kipindi anakuja man u lakini alichemka
Angalia stats za soldado lakini alichemka vibaya
Angalia za keita lakini leo hapati nafasi liverpool
Mifano ni mingi sana

Hizi stats mara nyingi zinategemeana na mchezaji anacheza wapi na aina ya wachezaji alio nao kwenye timu.
So shida ni nini!? Ni hiyo hoja yako ya watu wanaokutana nao (kwa kigezo cha ligi) au!? Je!?, vipi kuhusu hawa!?
-Alexis Sanchez (Arsenal to Manchester United)
-Fernando Torres (Liverpool to Chelsea)
-Romelu Lukaku (Everton to Manchester United)
-Aaron Lennon
-Benteke.
Na wengineo wengi tu!
 
Hahaha wewe jamaa kumbe upo serious katika hili unalopinga!!?

Kwahiyo kwakua kuna players wamefeli kwingine na wakafaulu kwingine ndiyo tunasema ligi aliyoshine ni kinabo kwakua kwenye ligi nyingine alifubaa?

Hahaha dah hatari mzee hoja zako ni noma.

Enhe unajua Kua Bruno Fernandes kamzidi mbali mno Scott? Na unajua ligi na timu anayotokea Fernandes? So unataka kusema ligi ya Ureno inalingana ubora na epl? Na imeiacha mbali kwa ubora eredivisie?

Last time kuona klabu ya Ureno ikishandania trophy ya level ya dunia ni lini?

Kama skauti wangekua hawashughuliki na takwimu Haaland asingekuepo BVB, Mbape asingekuepo PSG, Neymar asingefika Barca, Suarez asingeenda Liva, Auba angekua Rennes bado...

Kitu kikubwa katika mpira unataka kukielezea kimasihara.
Hata mimi sijakataa unayoyasema but nachosema mimi ni kua stats za mchezaji sio kipomo sahihi cha ubora wake.

Bruno ni offensive player and scott is defensive how can you compare?

Na skauti hawaangalii takwimu tu na kwenda kumnunua mchezaji kama unavotaka kusema bali hujiridhisha kwa kumfwatilia hata msimu mzima. Hili morinho , wenger na Babu fergie walikua wanafanya sana.
 
So shida ni nini!? Ni hiyo hoja yako ya watu wanaokutana nao (kwa kigezo cha ligi) au!? Je!?, vipi kuhusu hawa!?
-Alexis Sanchez (Arsenal to Manchester United)
-Fernando Torres (Liverpool to Chelsea)
-Romelu Lukaku (Everton to Manchester United)
-Aaron Lennon
-Benteke.
Na wengineo wengi tu!
Vyote kwa pamoja
 
Hata mimi sijakataa unayoyasema but nachosema mimi ni kua stats za mchezaji sio kipomo sahihi cha ubora wake.

Bruno ni offensive player and scott is defensive how can you compare?

Na skauti hawaangalii takwimu tu na kwenda kumnunua mchezaji kama unavotaka kusema bali hujiridhisha kwa kumfwatilia hata msimu mzima. Hili morinho , wenger na Babu fergie walikua wanafanya sana.
Kwahiyo Madrid walimfuatilia Ronaldo misimu mingapi?

BVB wamemfuatilia Haaland misimu mingapi?
 
Yea n defence midfield in nature Kama alivokuwa Ajax
Screenshot_20200903-200649_cropped.jpg
 
Yea n defence midfield in nature Kama alivokuwa Ajax
Hapana huyu dogo ni central midfielder au Central Attacking midfielder.

Hajawahi kucheza defence midfield katika career yake yote.

Nafikiri hata Man u wamemsajili kwajili ya kuongeza squad depth kwenye CM na CAM. Kwa sababu hana wachezaji wazuri sana ukiondoa Pogba na Bruno.

Hivyo kumchukua Donny ni kupata Back up nzuri ya Pogba na Bruno tofauti na sasa ambapo ni Pereira, Mata na Lingard ndiyo back up zao.
 
Hapana huyu dogo ni central midfielder au Central Attacking midfielder.

Hajawahi kucheza defence midfield katika career yake yote.

Nafikiri hata Man u wamemsajili kwajili ya kuongeza squad depth kwenye CM na CAM. Kwa sababu hana wachezaji wazuri sana ukiondoa Pogba na Bruno.

Hivyo kumchukua Donny ni kupata Back up nzuri ya Pogba na Bruno tofauti na sasa ambapo ni Pereira, Mata na Lingard ndiyo back up zao.
Yeahh! Mechi nyingi amecheza kama CM/CAM.
 
Dogo ni no 10 natural. Man u haina no 10 wa maana(maata ni uchafu tuu) bruno atashuka chini dogo atacheza nyuma ya martial.
Kuna swali lingine?

Bruno ma-asisst ataondolewa nafasi ya namba 10?

Akirudi nyuma atachakua nafasi ya nani?
 
Fred na McTominay watafute pa kwenda. Fred tayari anatakiwa na timu mbili za Italia. Nahisi Man U watamtoa Fred ili kumpa nafasi De Beek.

Pogba sidhani kama atafunguliwa mlango.

Mimi kama shabiki wa Arsenal nasubiri komedi za uwanjani tu nije kucheka humu.
Man United ile kali ya 2008 inabeba Epl na Uefa ilikuwa na midfield kibao

Scholes, Fletcher, Anderson, Carrick, Hagreaves, possebon, Gibson etc na wote hao walikuwa wanapata namba.

Midfield 6 kwa timu inayocheza na midfield watatu na inagombania makombe mengi ni wa kawaida sana, wote watacheza mechi 20+ hao.
 
Haya wale wachambuzi wetu, wataalam wa soka la Ulaya, tuambiane nafasi ambayo Kiungo mpya wa Man Utd kutoka Ajax ataaenda kucheza? Je, atachukua nafasi ya nani? Je, anaweza akaleta balance kwenye timu?

Karibuni
Kwa mfumo wa sasa VDB ni depth Player, ila tetesi tetesi na hata imani yangu ni kwamba watacheza wote watatu Pogba, Bruno na VDB, huwenda Ole akatumia mfumo mpya Msimu ujao.

Badala ya wachezaji watatu mbele wakawa wawili, ili tuweze ku Accomodate extra midfielder, mfumo kama 442 diamond ama 352
 
Hahaha wewe jamaa kumbe upo serious katika hili unalopinga!!?

Kwahiyo kwakua kuna players wamefeli kwingine na wakafaulu kwingine ndiyo tunasema ligi aliyoshine ni kinabo kwakua kwenye ligi nyingine alifubaa?

Hahaha dah hatari mzee hoja zako ni noma.

Enhe unajua Kua Bruno Fernandes kamzidi mbali mno Scott? Na unajua ligi na timu anayotokea Fernandes? So unataka kusema ligi ya Ureno inalingana ubora na epl? Na imeiacha mbali kwa ubora eredivisie?

Last time kuona klabu ya Ureno ikishandania trophy ya level ya dunia ni lini?

Kama skauti wangekua hawashughuliki na takwimu Haaland asingekuepo BVB, Mbape asingekuepo PSG, Neymar asingefika Barca, Suarez asingeenda Liva, Auba angekua Rennes bado...

Kitu kikubwa katika mpira unataka kukielezea kimasihara.
Shida ya mashabiki maandazi wao wanajuaga ulaya ligi ni EPL tu zingine hazina hadhi. Jibu ni hiviiii, ligi bora na dream league ni NBA tu. Mpira wa miguu ulaya ligi zote ngumu.
 
Back
Top Bottom