Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,882
- 2,109
Uyo ni sawa na Fred + mctominayHaya wale wachambuzi wetu, wataalam wa soka la Ulaya, tuambiane nafasi ambayo Kiungo mpya wa Man Utd kutoka Ajax ataaenda kucheza? Je, atachukua nafasi ya nani? Je, anaweza akaleta balance kwenye timu?
Karibuni