Mgonga Like JF-Expert Member Joined Mar 30, 2015 Posts 1,255 Reaction score 1,661 Feb 14, 2017 #781 criss van chicha
AL SADY OLPLANER JF-Expert Member Joined Nov 21, 2016 Posts 294 Reaction score 218 Feb 14, 2017 #782 FaizaFoxy said: Haya, saa ngapi? Click to expand... Bibi ni saa kumi ndio mida powa sana..mim nawaii basii
FaizaFoxy said: Haya, saa ngapi? Click to expand... Bibi ni saa kumi ndio mida powa sana..mim nawaii basii
chief1 JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 1,418 Reaction score 1,454 Feb 14, 2017 #783 rubii said: Wazee ndio wananifikisha mkuu Click to expand... Wanakufikisha wapi,kwenye hela?
Me I and my self JF-Expert Member Joined Sep 16, 2016 Posts 4,084 Reaction score 8,855 Feb 14, 2017 #784 If there is a women for every man Msingekuwa wengi na kupita idadi yetu sisi wanaume Na bahati yenu maana endapo kama kila mwanaume angechukua mwanamke mmoja mmoja Mngebaki wengi sana.
If there is a women for every man Msingekuwa wengi na kupita idadi yetu sisi wanaume Na bahati yenu maana endapo kama kila mwanaume angechukua mwanamke mmoja mmoja Mngebaki wengi sana.
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 35,759 Reaction score 86,409 Feb 14, 2017 #785 STUNTER said: Mbona umeweka jua linazama? Hiyo ni ishara mbaya sana Click to expand... me nafata rangi huko kuzama au kuchomoza unajua wewe😀 ishara mbaya gani..?
STUNTER said: Mbona umeweka jua linazama? Hiyo ni ishara mbaya sana Click to expand... me nafata rangi huko kuzama au kuchomoza unajua wewe😀 ishara mbaya gani..?
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,106 Reaction score 18,713 Feb 14, 2017 #786 chief1 said: Wanakufikisha wapi,kwenye hela? Click to expand... Kwa huyu si pesa cheo wala utajiri. Haiba yake, mahaba na Huba zake Hakika hakuna mwanamke timamu asiyetamani kuwa na mwanaume kama yeye
chief1 said: Wanakufikisha wapi,kwenye hela? Click to expand... Kwa huyu si pesa cheo wala utajiri. Haiba yake, mahaba na Huba zake Hakika hakuna mwanamke timamu asiyetamani kuwa na mwanaume kama yeye
N NAKWEDE JF-Expert Member Joined Aug 1, 2007 Posts 27,972 Reaction score 35,192 Feb 14, 2017 #787 Happy Valentine Stephen Wasira
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,506 Reaction score 123,776 Feb 14, 2017 #788 AL SADY OLPLANER said: Bibi ni saa kumi ndio mida powa sana..mim nawaii basii Click to expand... Safi sana, utanikuta nnakungoja.
AL SADY OLPLANER said: Bibi ni saa kumi ndio mida powa sana..mim nawaii basii Click to expand... Safi sana, utanikuta nnakungoja.
chief1 JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 1,418 Reaction score 1,454 Feb 14, 2017 #789 rubii said: Kwa huyu si pesa cheo wala utajiri. Haiba yake, mahaba na Huba zake Hakika hakuna mwanamke timamu asiyetamani kuwa na mwanaume kama yeye Click to expand... Hahaha muache mzee apumzike bhana,unataka kumpigisha sarakasi mzee wa watu Njoo tunawezana mi na wewe
rubii said: Kwa huyu si pesa cheo wala utajiri. Haiba yake, mahaba na Huba zake Hakika hakuna mwanamke timamu asiyetamani kuwa na mwanaume kama yeye Click to expand... Hahaha muache mzee apumzike bhana,unataka kumpigisha sarakasi mzee wa watu Njoo tunawezana mi na wewe
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,112 Reaction score 1,249,106 Feb 14, 2017 #790
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,106 Reaction score 18,713 Feb 14, 2017 #791 chief1 said: Hahaha muache mzee apumzike bhana,unataka kumpigisha sarakasi mzee wa watu Njoo tunawezana mi na wewe Click to expand... Wewe unawaza sarakasi mimi nataka mahabati
chief1 said: Hahaha muache mzee apumzike bhana,unataka kumpigisha sarakasi mzee wa watu Njoo tunawezana mi na wewe Click to expand... Wewe unawaza sarakasi mimi nataka mahabati
chief1 JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 1,418 Reaction score 1,454 Feb 14, 2017 #792 FaizaFoxy said: Safi sana, utanikuta nnakungoja. Click to expand... Wanajifanyaga wakorofi kumbe wanakamatikaga, Mapenzi kitu ingine
FaizaFoxy said: Safi sana, utanikuta nnakungoja. Click to expand... Wanajifanyaga wakorofi kumbe wanakamatikaga, Mapenzi kitu ingine
chief1 JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 1,418 Reaction score 1,454 Feb 14, 2017 #793 rubii said: Wewe unawaza sarakasi mimi nataka mahabati Click to expand... Mahabati hata kwangu yapo,unataka mpaka uvutwe mkono
rubii said: Wewe unawaza sarakasi mimi nataka mahabati Click to expand... Mahabati hata kwangu yapo,unataka mpaka uvutwe mkono
Qurie JF-Expert Member Joined Aug 9, 2015 Posts 3,645 Reaction score 3,889 Feb 14, 2017 #794 Edger Sr said: Happy valentine mrembo wangu Qurie Click to expand... Khuuuuh kumbe na Mimi nakumbukwa.... Asante Edger Sr wangu...... Uko wapi nkuletee zawadi ya wapendanao???
Edger Sr said: Happy valentine mrembo wangu Qurie Click to expand... Khuuuuh kumbe na Mimi nakumbukwa.... Asante Edger Sr wangu...... Uko wapi nkuletee zawadi ya wapendanao???
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,106 Reaction score 18,713 Feb 14, 2017 #795 chief1 said: Mahabati hata kwangu yapo,unataka mpaka uvutwe mkono Click to expand... Embu niyaonee
chief1 JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 1,418 Reaction score 1,454 Feb 14, 2017 #796 rubii said: Embu niyaonee Click to expand... Jisogeze uyaone,kwani ya mzee uliyaonaje?
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,506 Reaction score 123,776 Feb 14, 2017 #797 chief1 said: Wanajifanyaga wakorofi kumbe wanakamatikaga, Mapenzi kitu ingine Click to expand... = wanajifanya = wanakamatika Umeshajifikiria wewe ulifikaje duniani? Vipi, baba'ko na mama'ko hawakufanya mapenzi? Au ni wa bahati mbaya tu?
chief1 said: Wanajifanyaga wakorofi kumbe wanakamatikaga, Mapenzi kitu ingine Click to expand... = wanajifanya = wanakamatika Umeshajifikiria wewe ulifikaje duniani? Vipi, baba'ko na mama'ko hawakufanya mapenzi? Au ni wa bahati mbaya tu?
Ta-kibombo JF-Expert Member Joined Dec 4, 2015 Posts 648 Reaction score 514 Feb 14, 2017 #798 rubii said: Tatizo Moyo Mkuu nampenda sana Dakta Mkwere nitakufa juu yake Click to expand... Ila kazi ya moyo ni moja tu,kusukuma damu sasa wewe umeiovadozi na kwa dakta tena
rubii said: Tatizo Moyo Mkuu nampenda sana Dakta Mkwere nitakufa juu yake Click to expand... Ila kazi ya moyo ni moja tu,kusukuma damu sasa wewe umeiovadozi na kwa dakta tena
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,106 Reaction score 18,713 Feb 14, 2017 #799 chief1 said: Jisogeze uyaone,kwani ya mzee uliyaonaje? Click to expand... This proves you're cant take his place!! Stay away! Niache na mkwere wangu
chief1 said: Jisogeze uyaone,kwani ya mzee uliyaonaje? Click to expand... This proves you're cant take his place!! Stay away! Niache na mkwere wangu
chief1 JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 1,418 Reaction score 1,454 Feb 14, 2017 #800 FaizaFoxy said: = wanajifanya = wanakamatika Umeshajifikiria wewe ulifikaje duniani? Vipi, baba'ko na mama'ko hawakufanya mapenzi? Au ni wa bahati mbaya tu? Click to expand... Hahaha,mkuu kumbe unakapenda hako kamchezo Kila la kheri Inshaalah
FaizaFoxy said: = wanajifanya = wanakamatika Umeshajifikiria wewe ulifikaje duniani? Vipi, baba'ko na mama'ko hawakufanya mapenzi? Au ni wa bahati mbaya tu? Click to expand... Hahaha,mkuu kumbe unakapenda hako kamchezo Kila la kheri Inshaalah