Valentines Special Thread 2017

Please maua yangu naomba uyapokee usiyachome moto... Cuz nikikuita Honey(asali) huwa unafurahia, sasa nitashangaa endapo utayachukia maua ya nyuki
Uwiiii kwan leo unaleta maua tena? Please change motion
 
Huu hapa 1. "Baby nimetaja jina lako kwenye orodha ya wauza unga" usisahau kuriport kituoni kesho! Take care! I love uuuuuu!
2. Nimekuta jina lako unahitajika kituoni kwa tuhuma za madawa ya kulevya, lakini nimemhonga penzi mbashara askari hadi kaamua kufuta jina lako! I love u my habiby ungenyongwa!

********* hizi vipi au niendelee?******
 
Nko kwa ajili yake my shem na analitambua hilo. Uzr sijawah ona mwenye mapenz ya namna yake
Haya mi nipo zangu uzi wa masingles huku mnaniumiza roho.....
 
Maajabu ya JF mwanaume anamtag mwanaume mwenzake. Heee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…