Huu hapa 1. "Baby nimetaja jina lako kwenye orodha ya wauza unga" usisahau kuriport kituoni kesho! Take care! I love uuuuuu!
2. Nimekuta jina lako unahitajika kituoni kwa tuhuma za madawa ya kulevya, lakini nimemhonga penzi mbashara askari hadi kaamua kufuta jina lako! I love u my habiby ungenyongwa!
********* hizi vipi au niendelee?******