Valentine's day special greetings Zone

Valentine's day special greetings Zone

Babu ndo mambo gani hayo tena kwani bibi umemuacha wapi wewe unakimbilia kwa vijana huku

Mi nawakagua tu. Siwaharibu hawa mabinti. mwambie aje tu kwa amani. Tena aje without.
 
Karibu ningemisi hiki spesho toka kwa my valentine......
Thank you....baadae pale pale mpenzi....:A S-heart-2:


Worry not ila ujitahidi uwahi mpnz!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: RR
Ebu nisaidie kumtafuta uran popote alipo umlete hapa,kaniacha mpweke jamani na siku nzuri kama yaleo alitakiwa asiondoke pembeni yangu

Ukiona hivyo ujue wewe ni second option kwake! jipange chukua hatua.
 
Last edited by a moderator:
Happy V Day
Members wote wa
jf na Dunia kwa ujumla wake:A S kiss:
 
Hahahaaaa. wale wazee walikua vichwa ngumu sana. hapo ulibugi meeeen... ilikupasaa ulale chini kwa ubavu ndio uule.. hahahaaa.
Mie bwana ugoro wa bibi niliweka mdomoni aisee si kizungu zungu hiko. Mpaka nilidondoka.
 
OMG! ahsante sana wa ubavu wangu;
Hakuna maneno yanaweza kueleza penzi langu kwako,
Hakuna mfano wa jinsi navojiskia nikiwa na wewe,
I'm short of words, just come close...
..lean on me, close your eyes, spread your wings...
..let your spirit fly.......dream away...!
....YOU ARE MY VALENTINE!

wauuuuh!!!!!!................ am out of words!!!!! thanx my valentine..
 
Back
Top Bottom