Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,069
- 34,839
Wengine wanataka choo tu mwengine yote wanasamehe...Tabiaa...ila reception nayo muhimu.....lol
Wengine wanataka choo tu mwengine yote wanasamehe...
Wengine wanataka choo tu mwengine yote wanasamehe...
Ni PM niambie bibie maana wanawake wapo wengi wazuri lakini hawakai kwenye ndoa je Uzuri a mwanamke ni kitu gani?Sijui niku-PM nikwambie
Uzuri wa Mwanamke ni tabia nzuri sio dini wala sura yake wazuri wapo wengi lakini tabia zao ni mbaya. Hakuna mwanamke aliye mbaya duniani wote ni wazuri ila wanazidiaana kwa uzuri. Wanawake wachache tu ndio wenye Tabia nzuri.
Tabia kijijini, mjini sura na shepu.Tabiaa...ila reception nayo muhimu.....lol
Mi dini kwanza, tabia na sura nzuri, yeeees ndio nataka mimi. Ukitaka kuoa unaoa unaemtaka wewe