UZURI WA MWANAMKE NI NINi?

UZURI WA MWANAMKE NI NINi?

Najua wengi haswa wadada mtabisha lakini mwanamke hana dini. Hivyo kigezo cha dini ni bure tu. Mwanamke Figure tu. Uso na tabasam kila saa.

Kwanza mi sio dada

Nani kasema mwanamke hana dini? Akina Rwakatale ni watu ganj?
 
Kwa Tanzania, mwanamke ni kila kitu kwani kuna wale wanaopenda makalio, kunuka ukurutu mwilini, kunuka mdomo, kunuka makwapa. Utashangaa utaona demu hana hata mvuto ila ana mzinga wa nyuki kama wa Mamaa mimi49 (ila yeye ni mzuri) na watu/jamaa wanamlilia kutaka kuvuna asali yake. Hawataki chochote zaidi ya makalio tu. Bongo bwana:frusty:
 
Last edited by a moderator:
Tujiulize sisi wote hususani wanaume. Unapomuona mwanamke kwa mara ya kwanza anakuvutia, je huwa unavutika na kitu gani? Hapa huwezi kuzungumzia tabia kwa vile humfahamu hivyo hata tabia yake huijui. Dhahiri yafuatayo yanachangia. Sura (reception), Maungo (Body structure) Mwendo wake, anavyoongea pamoja na mengine mengi yanayofanana na hayo. KUZALIWA KWA NDAMA NI PUA NA MASIKIO, MAPEMBE NI MADOIDO TU YANAOTA UKUBWANI. Tabia na uwajibikaji katika nyanja zote utazijua baada ya kuwa naye karibu kwa muda mrefu.
 
Kwa Tanzania, mwanamke ni kila kitu kwani kuna wale wanaopenda makalio, kunuka ukurutu mwilini, kunuka mdomo, kunuka makwapa. Utashangaa utaona demu hana hata mvuto ila ana mzinga wa nyuki kama wa Mamaa mimi49 (ila yeye ni mzuri) na watu/jamaa wanamlilia kutaka kuvuna asali yake. Hawataki chochote zaidi ya makalio tu. Bongo bwana:frusty:
mi sina mzinga wa nyuki wala pakacha la samaki..
 
Last edited by a moderator:
1453463_232776146888530_1950826707_n.jpg
 
Back
Top Bottom