Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Najua wengi haswa wadada mtabisha lakini mwanamke hana dini. Hivyo kigezo cha dini ni bure tu. Mwanamke Figure tu. Uso na tabasam kila saa.
Kwanza mi sio dada
Nani kasema mwanamke hana dini? Akina Rwakatale ni watu ganj?