UZURI WA MWANAMKE NI NINi?

UZURI WA MWANAMKE NI NINi?

Mie nna dini best...

Nambe, Hebu niambie hiyo dini yako inaitwa nini? Ilikuwa ni bahati tu, ulipoamka asubuhi ukamkuta uliye naye ni wa hiyo dini, otherwise, wewe, ungekuwa hapa kwangu na dini yangu, ya kwako umeisahau.
Nambe, usinichukie, niambie, huko kwa huyo jamaa ulipajua kabla hujaenda huko au ulikwenda tu na roho yako umesha mkabidhi mikononi mwake. Akutende atakavyo. A woman is not in her senses when in love
 
Ukitaka ujue uzuri wa mwanamke kwangu mwangalie na kumfuatilia kwa karibu Heaven on Earth.
 
Uzuri wa Mwanamke ni MKEO
Kila siku nasema Mwanamke mzuri Duniani ni MKEO yeye ndio anajua ni nini unakula au unaumwa wapi?
Lakini ukisema (mke wa Mfalme wa Saudia au Malkia wa UK au Mama Marcos) wote hao hawana msaada kwako ila
ni Ushabiki tu km wa Mpira kwamba mm ni Manchester au Simba kufa na kuzikana
 
A%20S-confused1.gif
A%20S-confused1.gif
A%20S-confused1.gif


We hutaki choo BAK?
 
Mkuu hivi haya makitu hakuna yenye sura makirikiri? Hebu tafuta moja weka front elevation,side elevations,na rear mura...hata ukipata froo pran weka kabisa tuanze mujadara ova ...
 
hahahahahah lol!!!!! Nimecheka sana lol!!!! Kuna ndugu yangu kama unamuhadithia kitu basi ndio anatoa hii kauli, sasa kuisikia toka kwako kumenivunja mbavu lol!!!! Kumbe na wewe matata sana dah!!!!

Mie mpoleeee🙂🙂🙂🙂🙂
 
1. Usafi
2. Ngozi (hasa laini)
3. Matamshi na Kauli
4. Tabia hasa unyenyekevu
 
Back
Top Bottom