Aiseeeeee!!Hapana hapana. Alikiba hata awe na makeke gani hanogeshi ! Liboro lina raha utamu wake bana
Cc Smart911
Kuna sehmu nimeona mguu umepenyaKwanza linapenyajee sasa uwiiiih??
Salama madame kwema
Waja wataamani vipi kama kweli... Kidogo kwa faida ya members...jidanganye,,sie wanene tunavisima vifupi sana,,alisikika tipwa tipwa mmoja
Na UKIMWI ataupata tu akikaa kihasara!Pole sana,,,, ! Utachapiwa mpaka kufa kwako
nipe location...Waja wataamani vipi kama kweli... Kidogo kwa faida ya members...
Na mwanaume asiye na ukimwi akilala na mwanamke aliyeathirika je bila mchubuko ataupata?Na UKIMWI ataupata tu akikaa kihasara!
Zipo njia nyingi sana za kupata UKIMWI! Nadhani UKIMWI upo tu mpaka kwenye maji maji ya ukeni!!
Kwa mfano, mwanaume mwenye UKIMWI asipovaa condom na akamwaga ndani ya uke wa mwanamke lazima mwanamke yule apate HIV hata kama hakukuwepo na michubuko!
Yale maji ni pure blood na yanauwezo wa kubeba HIV
Kwa mwanaume kuna uwezekano mkubwa asipate kama hana michubuko! Atatoka salama!Na mwanaume asiye na ukimwi akilala na mwanamke aliyeathirika je bila mchubuko ataupata?
Hapana mkuu ni ukweliUnawapa faraja
Sio hivyo tu, vibamia vinatoa handsome and beautiful girl. Fanya tafiti utanipa majibu.Kama we ni mwanaume mwenye kibamia na unajiona mnyonge kutokana na maumbile yako basi ondoa shaka
Tafiti zinaonyesha wanaume wenye uume mdogo(kibamia) ni vigumu sana kupata magonjwa ya zinaa ikiwemo UKIMWI pindi wanapofanya ngono na mwanamke kwasababu ni vigumu kupata michubuko wakati wa tendo kutokana na maumbile yao kuwa madogo na kupwaya kwenye uke yaani ni kama kuingiza kijiko kwenye ndoo kubwa ya maji hali inayowaweka salama zaidi kiafya kulinganisha na wanaume wenye maumbile makubwa
Hii ni faraja kwa team vibamia, huna haja tena ya kuhangaika kwa wataalamu kutafuta madawa ya kuongeza uume, jali afya yako kula vizuri, fanya mazoezi , kunywa maji mengi na pumzika mda wa kutosha.
Tumia hicho hicho kibamia chako mradi kinasimama na kuingia mambo ya kuhangaika et kuwafikisha wanawake kileleni hayo waachie wapanda mlima hayakuhusu
NO MORE STRESS NO BAD MOOD
Na vikiwa na nguvu vina uwezo wa kwenda ruti ndefuSio hivyo tu, vibamia vinatoa handsome and beautiful girl. Fanya tafiti utanipa majibu.
Hii siri hakuna mwanamke atakaa akuambie
Ukiona hivyo jua tayari unatembea na handaki.
We Ponjoro wa Kinondoni acha hizo.Nauza dawa za kuongeza uume. Ndani ya wiki 1 uume unakuwa mkubwa inch 8 na mnene kama guu la mtoto.
😄Kwa mara ya kwanza nimesoma uzi uanaoelezea FAIDA ZA KIBAMIA