Uzuri/urembo/utanashati. Vs Jamii

Nimeobserve hili swala kwenye banks nyingi hapa tanzanzania.
Wanaume watanashati, wenye mvuto na tena wakiwa weupe ni an added advantage ya kupata kazi.

Rejao
umenikumbusha kitu.Miaka ya nyuma mashirika mengi ya kimataifa yalikuwa yanaajiri sana receptionists point 5/ machotara au weupe! Pia mashirika ya ndege etc. Msishangae sana akina dada wanapojipodoa kwa mikorogo jamani moja ya sababu ni "kukubalika". Japo siku hizi vigezo vya urembo hasa kimataifa vimebadilika kwa kuwaingiza akina Alek Wek ( wasichana weusi tii) kwenye fani.
 
PA tatizo haupo mda mrefu... hata hivyo kila kitu kipo kwenye faili.... CPU
we had a truce... he can call me his woman as long as aache kunisumbua
na kunitongoza
... mpaka pale kakako atapoachia ngazi....

Aisee
My woman
Siachi n'goooooo
 
Rejao
umenikumbusha kitu.Miaka ya nyuma mashirika mengi ya kimataifa yalikuwa yanaajiri sana receptionists point 5/ machotara au weupe! Pia mashirika ya ndege etc. Msishangae sana akina dada wanapojipodoa kwa mikorogo jamani moja ya sababu ni "kukubalika". Japo siku hizi vigezo vya urembo hasa kimataifa vimebadilika kwa kuwaingiza akina Alek Wek ( wasichana weusi tii) kwenye fani.



THANK YOU WoS.... This Post imeni remind why i am proud of being Mweusi....

Hata hivo sasa napenda saaaana most ladies ambao wame embrace weusi wao
na wanavutia - and GOD... They are beautiful!! Really... ndio i am a woman but
do also appreciate the beauties of others.... THEN cha ajabu utakuta wakaka/baba
wanakandia wanawake kujichubua while all the time ndio wanaowavutia... and
Yet they wonder....
 
PA Please share....[/QUOTE]
Nakumbuka nilienda kwenye interview shirika moja hivi even before the interview began the guy asked me "Where did you buy you shirt?" from there i just knew what this guy likes hata nilipoingia kwenye interview he just asked me few questions the rest tulikuwa tunaongea the previous companies i worked, later on he was insisting i take him where i buy my clothes.
 
Nakumbuka nilienda kwenye interview shirika moja hivi even before the interview began the guy asked me "Where did you buy you shirt?" from there i just knew what this guy likes hata nilipoingia kwenye interview he just asked me few questions the rest tulikuwa tunaongea the previous companies i worked, later on he was insisting i take him where i buy my clothes.


PA... I could not help it!!! I Lmao with your share of experience....

Hapo haitakiwi niulize kama ulipata kazi au lah! Je angeona Ile Suit??

naona angekuachia na kiti kabisa... Dah!
 
Nakumbuka nilienda kwenye interview shirika moja hivi even before the interview began the guy asked me "Where did you buy you shirt?" from there i just knew what this guy likes hata nilipoingia kwenye interview he just asked me few questions the rest tulikuwa tunaongea the previous companies i worked, later on he was insisting i take him where i buy my clothes.

Insisting== ulikuwa unakataa kataa!
Yes,
Nkajiuliza ungewezaje kumpeka tandale kule kwa "Kila kitu mia mbili, kuchagua mbili, kujaribu mia mbili..."lol!
 
ha ha ha.... CPU.... This Post imenifurahisha dear.... wonderful observation...

BUT my empasis ni kwenye purple bolded.... Huyo mtu hata kama rafiki
yako vipi anakukwepa by all means kumtembelea kwake... visingizia haviishi...
Kimbembe akifiwa.... kweli inakua aibu....


Alaaa kumbeeeee!!!
My woman, leo hapa ofisin nilikuwa naongea na wafanyakazi wenzangu
Nikauliza "Kwanini siku hizi kasi ya kufunga ndoa imekuwa kubwa sana??"
Nikajibiwa simple tu, "Siku za mwisho zimekaribia"

Sasa nikaanza kufikiria maisha ya kila binadamu kulingana na status yake (assuming hilo jibu la mwisho wa dunia ni kweli)
Walio singles na wasiokuwa na mawazo ya ndoa kabisa watafikiria starehe mbadala. Hawezi kufikiria kujenga nyumba au kuoa, coz ataona anapoteza muda na mali zake bure, badala ya kutumbua kwa kula raha.

Kwahiyo mtu atawaza kutumbua raha tu kiasi kwamba hata akifa hataacha mali ambazo watafaidi wengine kama nyumba, mashamba, pesa, n.k
 
Mamndenyi.... Thank you for sharing.... BUT kumbuka kua hizi tabia
zipo katika kila level of Institutions..... Na kuna mwingine kajitahidi
kadri ya uwezo wake aonekane presentable But still hiio level best haijatosha.....

Kwa wewe tatizo ni kutokujiamini tu, be strong, wewe ni mwanamke shujaa, umesoma una vyeti, una familia, una watoto, be strong, jiamini wewe kwanza, nothing like mrembo ni issue ya kujibadilisha na kujiweka unavyopenda uwe, hakuna zaidi.
 
PA Please share....
Nakumbuka nilienda kwenye interview shirika moja hivi even before the interview began the guy asked me"Where did you buy you shirt?" from there i just knew what this guy likes hata nilipoingia kwenye interview he just asked me few questions the rest tulikuwa tunaongea the previous companies i worked, later on he was insisting i take him where i buy my clothes
Hahahahahah
Nabisha kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tena na huo mwili wako mmmmmh
Sema tu aliyeku-intervyuu alikuwa mdada matata, mrembo, kaumbika kama "my woman"
 
Da Asha,
Mi labda nichangie kwenye Utanashati,
Jinsi unavyovyaa (kupiga pamba) kunachangia sana ukubalikaji wako katika jamii...iwe barabarani, ofisini au kuomba kazi tu!
Nijuavyo, jinsi unavyo-appear inahold 50% ya how people perceive you.
Kwangu ni afadhali kuvaa vizuri, nitoke chicha anytime, home, kazini, barabarani au hata nikienda sokoni...kupendeza ni PI kwangu.

Na ukifanya uchunguzi utakuta hata watu utaokutana nao wenyewe wakikuona wanasmile,
ukiingia ofisi unayohitaji huduma unajikuta unahudumiwa vizuri zaidi and probably faster than others.

Kuna mengi ya kuongelea on this na mifano ya jinsi nilivyopewa heshima na wenzangu tuliokuja nao interview. Wao walidhani mimi ni interviewer kwa hiyo nlipoingia tu, mmoja akasimama anipishe nikae pale kiti cha mbele.
 
Nakumbuka nilienda kwenye interview shirika moja hivi even before the interview began the guy asked me "Where did you buy you shirt?" from there i just knew what this guy likes hata nilipoingia kwenye interview he just asked me few questions the rest tulikuwa tunaongea the previous companies i worked, later on he was insisting i take him where i buy my clothes.

Insisting== ulikuwa unakataa kataa!
Yes,
Nkajiuliza ungewezaje kumpeka tandale kule kwa "Kila kitu mia mbili, kuchagua mbili, kujaribu mia mbili..."lol!
[/QUOTE]
Mentor i never knew you are this funny nimecheka mpaka basi lol!
 
PA... I could not help it!!! I Lmao with your share of experience....

Hapo haitakiwi niulize kama ulipata kazi au lah! Je angeona Ile Suit??

naona angekuachia na kiti kabisa... Dah!
From there niliulizwa tu kama naweza kuanza kazi the next day
Hahahahahah
Nabisha kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tena na huo mwili wako mmmmmh
Sema tu aliyeku-intervyuu alikuwa mdada matata, mrembo, kaumbika kama "my woman"
Hahaha lol!!! Tukikutana lazima nikupe makwenzi ya kichwa
 
Alaaa kumbeeeee!!!
My woman, leo hapa ofisin nilikuwa naongea na wafanyakazi wenzangu
Nikauliza "Kwanini siku hizi kasi ya kufunga ndoa imekuwa kubwa sana??"
Nikajibiwa simple tu, "Siku za mwisho zimekaribia"

Sasa nikaanza kufikiria maisha ya kila binadamu kulingana na status yake (assuming hilo jibu la mwisho wa dunia ni kweli)
Walio singles na wasiokuwa na mawazo ya ndoa kabisa watafikiria starehe mbadala. Hawezi kufikiria kujenga nyumba au kuoa, coz ataona anapoteza muda na mali zake bure, badala ya kutumbua kwa kula raha.

Kwahiyo mtu atawaza kutumbua raha tu kiasi kwamba hata akifa hataacha mali ambazo watafaidi wengine kama nyumba, mashamba, pesa, n.k


CPU insight za leo kali!! Ila niseme kua from my assumption basing on Dar... Vijana hawaoi sababu mabinti wazuri na warahisi ni wengi mno, na wale wanao amua kuoa uhakikisha anapata a wife wanaweza saidiana.... alafu sio kweli kwamba siku hizi vijana ndio wanaoa saana... Hapa issue ni kua CPU umefika age ambayo most friends wa rika yako wanaoa sasa - wewe unaona mbona siku hizi wanaoa saana kumbe ndio time alarm hio kua sasa na wewe wakati umefika....

Alafu kumbuka next week mfungo.... Ndo zitafungwa kweli kweli sasa... mambo ya futari na maanjumati, ina play part...lol
 
Kwa wewe tatizo ni kutokujiamini tu, be strong, wewe ni mwanamke shujaa, umesoma una vyeti, una familia, una watoto, be strong, jiamini wewe kwanza, nothing like mrembo ni issue ya kujibadilisha na kujiweka unavyopenda uwe, hakuna zaidi.


Mamndenyi nashukuru Mungu ni adimu saana kujikuta katika hio nafasi.... and Nina confidence in all issues pertaining me (naona ndio huniokoa....) nilikua nazungumzia saana kwa watu wanaokua affected na hio, maana hua hii kitu na observe saana... Nimependa maelezo yako... kwamba kweli kama mtu unakua na tatizo hilo mara nyingi, ukifuanta huu ushauri, it works out.... Thank you dear...
 
Da Asha,
Mi labda nichangie kwenye Utanashati,
Jinsi unavyovyaa (kupiga pamba) kunachangia sana ukubalikaji wako katika jamii...iwe barabarani, ofisini au kuomba kazi tu!
Nijuavyo, jinsi unavyo-appear inahold 50% ya how people perceive you.
Kwangu ni afadhali kuvaa vizuri, nitoke chicha anytime, home, kazini, barabarani au hata nikienda sokoni...kupendeza ni PI kwangu.

Na ukifanya uchunguzi utakuta hata watu utaokutana nao wenyewe wakikuona wanasmile,
ukiingia ofisi unayohitaji huduma unajikuta unahudumiwa vizuri zaidi and probably faster than others.

Kuna mengi ya kuongelea on this na mifano ya jinsi nilivyopewa heshima na wenzangu tuliokuja nao interview. Wao walidhani mimi ni interviewer kwa hiyo nlipoingia tu, mmoja akasimama anipishe nikae pale kiti cha mbele.


Mentor I Love your share of experience... i can't comprehend nini kilifuata hapo...
yaani wewe uloepukiwa kiti... hio confidence ina rise to the maximum, alokuepukia
inashuka to the minimum.... And i like the fact kua wewe umejiwekea kupendeza kua
Personal ID yako... Mimi ninachoo amini ni kua - kupendeza kweli kunaenda pia na hali ya
fedha ya mtu.... pamaba atazopiga, hali aloacha home (kumfanya awe na amani...)
na the like....

Vipi naomba unijibu.... Is it right sasa quality ya kuhudumia basing on looks??
 
AshaDii nimekumiss
Ok ok kwenye mada utanashati na muonekano wako una mengi sana. Unaweza kukupa kazi ambayo hukuitarajia na ukakutana na bahati ambazo hukuzitarajia na muonekano wako na watu wanavyokuchukulia inakuwa tofauti kidogo. Kuna kazi ambazo bila usmart watu wanakuona hamnazo hata kukuamini na kukupa kazi inakuwa ni issue. Mfano ni wazi kuwa kazi niliyo nayo moja ya kigezo kilikuw ani namna unavyoonekana na vaa yako
 
Moja kati ya tabia za kijinga kabisa za mwanadamu ni hii,kuweka makundi,mzuri,mbaya,jambo hili linamfanya mwanadamu safari yake ya kujitambua iwe ndefu sana,chanzo chake ni kujitafuta na kibaya zaidi anajitafuta nje yake,thamani ya mwanadamu ipo ndani wala sio nje,haya mambo ya kuwagroup watu ni matatizo ya kimalezi na roho mbaya ya mwanadamu,tunashindwa kujipenda wenyewe tunatafuta jambo hilo kwa wengine,bahati mbaya nao wanahitaji upendo kwetu kwani nao hawana!Dada umezungumza matatizo haya lakini hujaonesha kupinga kama ulivyoonesha kukubali kuwa kuna wazuri na wabaya!Sikulaumu kwani hayo ni matatizo makubwa ya kijamiiKiuhalisia hakuna wazuri wala wabaya ndicho ninachoamini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom