Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 19,160
- 15,428
Tanzania will never have buses like these hadi dunia iisheDuh watu wa Nairobi bado mnatumia primitive buses kiasi hicho!!!!!!
Tanzania will never have buses like these hadi dunia iisheDuh watu wa Nairobi bado mnatumia primitive buses kiasi hicho!!!!!!
Sisi pia tuna BRT tena zinatembea kwenye barabara zao special...halafu mambo yakuning'iniza mabendera ya linchi lenu kwenye gari ni ushamba...yaani gari la usafiri wa umma limechorwa bendera ya kenya ili iweje kama sio kutafuta sifa na ushamba?????? Nimefika London sijaona kitu kama hicho aisee nyie Wakenya Limbukeni.Tanzania will never have buses like these hadi dunia iisheView attachment 1205179View attachment 1205180
Sisi pia tuna BRT tena zinatembea kwenye barabara zao special...halafu mambo yakuning'iniza mabendera ya linchi lenu kwenye gari ni ushamba...yaani gari la usafiri wa umma limechorwa bendera ya kenya ili iweje kama sio kutafuta sifa na ushamba?????? Nimefika London sijaona kitu kama hicho aisee nyie Wakenya Limbukeni.
Wakenya mnapaona London kama Mbinguni hivi😂😂😂😂😂😂😂😂😂Congratulations kwa kufika London kwa picha na YouTube
Endelea kuwatch videos za London kijanaWakenya mnapaona London kama Mbinguni hivi
Na wewe endelea kula vumbi la Matatus hapo London ya Kenya.😂Endelea kuwatch videos za London kijana
Na wewe endelea kula vumbi la Matatus hapo London ya Kenya.
Watu.So Kama Nairobi metropolitan inafika mpakani mwa Tanzania umeshaona the built up area imefika Mpakani Hadi Namanga?Sio kuongeza tu mipaka bradhee, inaitwa metro - the total built up area of a city. Sasa Dar es Salaam haijakamilika kujengwa ndani ya mipaka utaongezaje sehemu ziko nje ya mipaka?
Acha kudanganya
Watu.So Kama Nairobi metropolitan inafika mpakani mwa Tanzania umeshaona the built up area imefika Mpakani Hadi Namanga?
Nasikia chapo ni chakula cha anasa Kenya !!? Mkenya akinunua chapo anapitanayo mtaani huku anakula na soda baridi ili aonekane tajiriNdio. Endelea kukaa humu utajifunza mengi.
Nasikia chapo ni chakula cha anasa Kenya !!? Mkenya akinunua chapo anapitanayo mtaani huku anakula na soda baridi ili aonekane tajiri
Teargass acha uongo..unamaanisha mzungu anatoka Europe kuja Kenya specifically kuja kutazama hayo makwama?Our Matatu culture has attracted most tourists than Mwanza rocks.
😂😂😂😂😂😂Wabongo sio watu duh.Nasikia chapo ni chakula cha anasa Kenya !!? Mkenya akinunua chapo anapitanayo mtaani huku anakula na soda baridi ili aonekane tajiri
😂😂😂😂😂😂Wabongo sio watu duh.Nasikia chapo ni chakula cha anasa Kenya !!? Mkenya akinunua chapo anapitanayo mtaani huku anakula na soda baridi ili aonekane tajiri
Chapo ilikuwa chakula cha anasa zamani. Siku hizi ni chakula cha kawaida. Ugali tena imepanda bei kushinda chapati.Nasikia chapo ni chakula cha anasa Kenya !!? Mkenya akinunua chapo anapitanayo mtaani huku anakula na soda baridi ili aonekane tajiri
Teargass acha uongo..unamaanisha mzungu anatoka Europe kuja Kenya specifically kuja kutazama hayo makwama?
Teargass acha uongo..unamaanisha mzungu anatoka Europe kuja Kenya specifically kuja kutazama hayo makwama?
Teargass acha uongo..unamaanisha mzungu anatoka Europe kuja Kenya specifically kuja kutazama hayo makwama?
Najua huwezi kuleta gazeti zima Kwa sababu hii video hapo chini inasadifu yaliyomo