yaani Nairobi ni kutoka mnazi mmoja mpaka GerezaniSikuwahi kufahamu kuwa nairobi nijiji kubwa kiasi hiko nilijua kuwa nairobi nikamji kadogo tu ambako majengo marefu yamerundikana kumbe nairobi inaweza kulingana na kariakoo au zipishane kidogo kwa ukubwa wa eneo lililojengeka dah hongera sana wakenya kwa hili
mwanzo umesoma heading ulianza kufurahiWhere has JF got all these deliquescence starting nonsensical threads left right and centre.Hawana cha kufanya majibwa kama hayo?
CBD to CBDSijaelewa, unamaanisha Nairobi CBD ama Nairobi yote kwa ujumla?
CBD to CBDSijaelewa, unamaanisha Nairobi CBD ama Nairobi yote kwa ujumla?
Duh!!! Old tena. Haya maswali huulizwa na walevi wa "COMMON" Je wewe ni mmoja wao!?samahani mkuu, how old are you??
Kwani wewe umeelewaje!?Sijaelewa, unamaanisha Nairobi CBD ama Nairobi yote kwa ujumla?
Sijaelewa, unamaanisha Nairobi CBD ama Nairobi yote kwa ujumla?
Wewe umeelewaje swali langu?Kwani wewe umeelewaje!?
Sasa mtu anaanzisha uzi bila maelezo kamili utadhani yupo mawindoni, ndani kabisa porini. Anamaanisha Nairobi CBD, Nairobi County ama jiji lenyewe kwa ujumla? Jiji la Nairobi sasa hivi ni Metropolis. Nairobi Metropolis imekua hadi ikavuka mipaka ya hapo awali, ya gatuzi la Nairobi, yaani ule mkoa wa zamani. Nairobi Metropolis ni 32,000 square kilometres.trolling
Hivi nyie wakenya vichwa vyenu viko sawa!? Hivi unaelewa hata maana ya 32,000 square kilometres!? Unaweza kuleta reference ya hiki ulichoandika!? Unajua 32,000 square km ni zaidi ta nchi ya Rwanda, ni zaidi Belgium.Sasa mtu anaanzisha uzi bila maelezo kamili utadhani yupo mawindoni, ndani kabisa porini. Anamaanisha Nairobi CBD, Nairobi County ama jiji lenyewe kwa ujumla? Jiji la Nairobi sasa hivi ni Metropolis. Nairobi Metropolis imekua hadi ikavuka mipaka ya hapo awali, ya gatuzi la Nairobi, yaani ule mkoa wa zamani. Nairobi Metropolis ni 32,000 square kilometres.
Kabla ya kuanza ubishi wa kipuuzi ungejielimisha kuhusu Metropolis, metropolitan na vitu kama hivyo. Sina la ziada.Hivi nyie wakenya vichwa vyenu viko sawa!? Hivi unaelewa hata maana ya 32,000 square kilometres!? Unaweza kuleta reference ya hiki ulichoandika!? Unajua 32,000 square km ni zaidi ta nchi ya Rwanda, ni zaidi Belgium.
Tukisema nyie wakenya ni wajinga msilie lie
View attachment 1203839
Kabla ya kuanza ubishi wa kipuuzi ungejielimisha kuhusu Metropolis, metropolitan na vitu kama hivyo. Sina la ziada.
Nairobi haina haja ya kupanda usafiri ni kutembea tu na mguu unaimaliza yote chap
Huyu jamaa sijui anasoma alichoandika. Total area ya kenya yote ni 580,367Anaongelea sq km buda, ya kwako ume exaggerate