ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,121
- 5,332
sio hivyo mkuu, mi naona ni muda tu wa kuperuzi jf haupo so mtu unaamua kupita tu na kusoma vilivyo muhimu, japo na popular threads za siku hizi ni mijadala isiyo na faida, ni kama kupoteza muda tu, imekaa kitoto toto sana, watu wanajaribu ku cope na hizi changes but bado inawawia vigumu.Inasemekana nyie ni jiniaz, mana hamjaona ps kukoment, et mnafikiliaga mbali mno,
Nakuona IQ.