Kwa kuangalia uchangiaji wa mada nimegundua watumiaji wengi wa JF hutumia device za maofisini mwao

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,696
40,962
Ukifuatilia uchangiaji wa mada kwa siku za kawaida za wiki na za weekend utaona mada nyingi hupata wachangiaji wengi kwa siku za ijumatatu mpaka ijumaa.

Ijumamosi na jumapili wachangiaji huwa wachache na mada hazitembei sana.

Hii imenifanya kuhitimisha kwamba wachangiaji wengi wa JF wanalogin wakiwa makazini kwa kutumia net za maofisi yao na device za ofisi zao.

Wanaochangia weekends ni wale wanatumia simu zao binafsi au Ipad.

Ni mTazamo tu.

Mtat
 
Ili kauli yako ipate mashiko ingia majukwaa yote hasa lile la "wazee wa kubet" uone kama watu wametulia ama la.

Kwa ujumla weekend watu huwa wanapumzika plus kukutana na wadau mbalimbali yaani weekend ni FACE TO FECE DISCUSSION ila Jtatu - Ijumaa ni KEYBOARD TO KEYBOARD DISCUSSION.

Btw JF wala haitumii bundle kivile mpaka mtu ashindwe na kutegemea internet ya mtelezo ofisini. Labda ile miaka ya 2013 kurudi nyuma watu walikuwa wanategemea device za ofisini kutokana na smartphone hazikuwepo kivile na matumizi application hayakuwa kivile
 
Ili kauli yako ipate mashiko ingia majukwaa yote hasa lile la "wazee wa kubet" uone kama watu wametulia ama la.

Kwa ujumla weekend watu huwa wanapumzika plus kukutana na wadau mbalimbali yaani weekend ni FACE TO FECE DISCUSSION ila Jtatu - Ijumaa ni KEYBOARD TO KEYBOARD DISCUSSION.

Btw JF wala haitumii bundle kivile mpaka mtu ashindwe na kutegemea internet ya mtelezo ofisini. Labda ile miaka ya 2013 kurudi nyuma watu walikuwa wanategemea device za ofisini kutokana na smartphone hazikuwepo kivile na matumizi application hayakuwa kivile
JF haili bando ila ukiwasha DATA magroup ya Whatsapp yanakumalizia bando haraka,GB siyo kitu kwa siku. Tembelea maofisini uone watu wanavyokua online kwenye device za kazini. Kazini watu wanadaunilodi mazaga yote yanayokula MB, wakirudi nyumbani nikuangalia tu.
Bando ni ghali, hao wakubeti ni majobless wengi.
 
Ijumamosi na jumapili wachangiaji huwa wachache na mada hazitembei sana.

Hii imenifanya kuhitimisha kwamba wachangiaji wengi wa JF wanalogin wakiwa makazini kwa kutumia net za maofisi yao na device za ofisi zao.
Jumamosi na Jumapili ni siku watu wako busy na maisha yao binafsi na kujirusha
 
JF haili bando ila ukiwasha DATA magroup ya Whatsapp yanakumalizia bando haraka,GB siyo kitu kwa siku.Tembelea maofisini uone watu wanavyokua online kwenye device za kazini.Kazini watu wanadaunilodi mazaga yote yanayokula MB,wakirudi nyumbani nikuangalia tu.
Bando ni ghali,hao wakubeti ni majobless wengi.
Niliangalia specifically JF kama mleta mada alivyokuja, by the way upo sahihi Kwa hiyo ya ku-download lakini hata hivyo Whatsapp pia haitumii bundle kama utaji-control labda kama upo kwenye magroup executive yanayotuma video clips ambazo ni lazima u-download lakini magroup haya ya kutuma vibonzo ni kujiku-control tu Kwa kuzuia "auto-download" Kwa video tu maana video moja ya 40mb inaweza ikawa imetumwa kwenye magroup 4 maana yake ikiwa ni auto-download zinakuwa zimekwenda 160mb lakini ukiwa umeweka off maana yake utafungua video clip moja zingine unazipotezea kwenye magroup mengine.

Btw adui mkubwa wa bundle ni "Instagram na tik tok"
 
1710685651273.png

Takribani asilimia 85 ya watumiaji wa JF wanatumia Mobile web devices (smartphones) kuingia/kutembelea JF. Utafiti wako umelenga hisia badala ya uhalisia
 
Back
Top Bottom