Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Kwa kuangalia picha na t-shirt marked SUMARI, maneno ya mtoa mada yana walakini, au ni color blind au hajui kuhesabu au kuchanganua na kutumia maneno - mamia, maelfu, malaki au makumi. [Kwa watani zangu wahaya wanaita nkumi nkaga​]
 
Ile kauli ya CCM na pesa Chadema na Mungu imekaa je???? Mavitu kibaooooooooooo kampeni za kitaifa.
Magamba mtadoda...Wananchi wanajua sasa AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YAKO.......CHADEMA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE...PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEESSSS.....
 
(6) Kiongozi wajuu kabisa wa CCM kuzindua kampeni hizi leo

Nimeipenda sana hiii!!!
Kwahiyo Mkwerre ni kiongozi wa kata ya Chalinze Mzee ndani ya CCM au?
 
Wapenzi, wafuasi na wanachama wa chama makini chama cha Mapinduzi mkutano ndio unaanza rasmi wananchi wa Jimbo la arumeru wa rika na jinsia zote wamejitokeza kwa wingi sana hapa katika viwanja vya mkutano muda c mrefu tutawapa link ya kupata hutuba zote zitakazotolewa live
 
Mbona kwenye hizo picha vitendea kazi vingi kuliko wananchi
 
Ile kauli ya CCM na pesa Chadema na Mungu imekaa je???? Mavitu kibaooooooooooo kampeni za kitaifa.
Magamba mtadoda...Wananchi wanajua sasa AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YAKO.......CHADEMA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE...PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEESSSS.....
Wafuasi wa Chadema mnamatatizo ya kiakili mbona mnakuwa kama Tomaso aminin nawaambieni kuwa CCM imejaza malaki ya Watu hapa USA River picha kamili mtaipata saa mbili usiku
 
Ile kauli ya CCM na pesa Chadema na Mungu imekaa je???? Mavitu kibaooooooooooo kampeni za kitaifa.
Magamba mtadoda...Wananchi wanajua sasa AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YAKO.......CHADEMA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE...PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEESSSS.....
CCM Juuuu Juuuu juuuu zaidiiiiii
 
Back
Top Bottom