Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,680
- 59,801
Kampeni hii ni mahususi kwaajili ya kuwafikia na kutoa msaada wa kisheria kwa Wananchi wote buree, Kampeni hii itahusisha utoaji wa Elimu ya kisheria na kusikiliza migogoro yote ya kisheria ikiwa ni pamoja na mirathi, ardhi, ndoa na usajili pamoja na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa na mengineyo kwa Wananchi wote pasipo gharama yoyote. Mgeni Rasmi; Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana Waziri wa Katiba na Sheria.
View: https://www.youtube.com/live/qFhx_o6FiWY?si=71a1STLVYxTsfztU
Serikali yazindua kituo cha msaada wa kisheria kwa wote Serikali ianzishe Kitengo cha Msaada wa Kisheria kwa Umma, sio Watu wote wanamudu kuwa na Wakili Binafsi
View: https://www.youtube.com/live/qFhx_o6FiWY?si=71a1STLVYxTsfztU
Serikali yazindua kituo cha msaada wa kisheria kwa wote Serikali ianzishe Kitengo cha Msaada wa Kisheria kwa Umma, sio Watu wote wanamudu kuwa na Wakili Binafsi