Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,696
- 59,852
UZINDUZI WA MAMA SAMIA LEGAL AID KAMPENI - SINGIDA
Kampeni hii itahusisha utoaji wa Elimu ya kisheria na kusikiliza migogoro yote ya kisheria ikiwa ni pampja na mirathi, ardhi, ndoa na usajili pamoja na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa na mengineyo kwa Wananchi wote pasipo gharama yoyote.
Mgeni Rasmi;
Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana
Waziri wa Katiba na Sheria
🗓️ 10 Januari, 2024
📍Viwanja vya Stendi ya zamani - Mkoani Singida
🕗 Saa 1 Asubuhi
Wananchi wote mnakaribishwa !
Tangazo hili limetolewa na Wizara ya Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida.
#MSLAC
#SamiaLegalAid
#KatibaNaSheria
#MsaadaWaKisheria
#WizaraYaKatibaNaSheria
Kampeni hii ni mahususi kwaajili ya kuwafikia na kutoa msaadabwa kisheria kwa Wananchi wote buree
Kampeni hii itahusisha utoaji wa Elimu ya kisheria na kusikiliza migogoro yote ya kisheria ikiwa ni pampja na mirathi, ardhi, ndoa na usajili pamoja na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa na mengineyo kwa Wananchi wote pasipo gharama yoyote.
Mgeni Rasmi;
Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana
Waziri wa Katiba na Sheria
🗓️ 10 Januari, 2024
📍Viwanja vya Stendi ya zamani - Mkoani Singida
🕗 Saa 1 Asubuhi
Wananchi wote mnakaribishwa !
Tangazo hili limetolewa na Wizara ya Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida.
#MSLAC
#SamiaLegalAid
#KatibaNaSheria
#MsaadaWaKisheria
#WizaraYaKatibaNaSheria