niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,508
- 4,956
ACT wazalendo nimewaelewa sana. Wapo kimkakati sana.
Hata makamanda wa humu naona wameanza kumsujudia na kusahau ufipa, ha ha ha. Kaaz kwel kwel.
Unawashwa?
Ila ccm akili huwa zinaruka mara nyingine, et lijitu linakwambia tumeibiwa sana wakati nyinyi wenyewe ccm ndiwo mlikuwa mnasaini mikataba na mibovu na wakoloni haohao, misaada hampati toka kwa hao wakoloni basi mnawaita mabeberu.Kuna budget za serikali kama uvuvi na kilimo hazijawai kufika 65% ya utekelezaji toka mwaka 2015.
Mfano Ni kiasi gani Cha pesa kimepotea kwa mfano chukulia Labda budget ya kilimo ni 200,000,000,000x( 35/100)= 70 bilion.....
Ccm sio chama, ni genge la kihalifu.Ccm ni chama cha kitapeli
Hii ni Bombardier?Lissu ametua KIA na bombardier yetu, akifika Arusha atawaambia kuboresha miundo mbinu ni hasara
Shetani wewe.Hana pesa, kampeni zimedoda, ndege ya kukodi atawezea wapi ?
wasituambie maneno kama vile sis ni watoto wadog; wajue wanaongea na matajiri waoNgoja tuwasikilize. Sisi wapiga kura ndio matajiri!
Naked truth...!!!Membe sio mpinzani, halafu Zitto anataka CHADEMA iungane na ACT huku yuko na Lowassa wa Lindi.
We mzee wa pwani ulali?Naked truth...!!!
Sijui huwa hamuelewi au Ni ujinga na Kila siku mzee baba anakwambia kabisa yet hapeleki pesa kwenye Jimbo la upizaniYeye zito kabwe ametekereza mangapiii pale kigoma? Waha halingumu saaana, waha wako kariibu na ziwa Tanganyika, lakini, kuanzia gungu, masanga, nazareti, mwanga n.k .n.k. Hamna atatone la maji kama hunakisima unahali mbayaaa huku zito akishinda mahakamani na makesi yasiyoisha na kuuuterekeza mkoa wa kigomaa