Uzi wa vyakula tu

Ahaaa Usinichoke mie kupika sijui hata maharage siwezi....Labda chai tuu


Hayo macaroni unaunga tuu sio
Mafuta....vitunguu maji....nyanya basi ?
Iko hivi : Hayo macaroni ni kama tambi au spaghetti zinauzwa kwenye packet zipo plain hazina taste yoyote.

Bahati mbaya mie yameisha hapa ngekupigia picha.

Sasa kupika yake: unayachemsha yenyewe mpka yawive yawe laini kiasi. Then unachuja mana yakiiva huwa yanabaki na maji yale ulochemshia so uyachuje ili yabaki makavu.

Then unapika kama roast la nyama ya kusaga au kuku alonyambuliwa. Kwenye roast sasa ndio unakarangiza ivo vitunguu maji, nyanya, na nyanya ya kopo plus spices kiasi.

Roast likishakolea kadri upendavyo.....unamimina yale macaroni yako ulokwisha yachemsha then unachanganya vizuurrriiii. Chakula tayari kwa kuliwa
 
Zile za kulia ubwabwa nasema..za njano zile
Nimewaza hivi uchukue uziponde ponde uchanganye na yai alaf ukaange kama chapati au vyovyote vile
Sijui itamake sense kweli ?
Jaribu mkuu maana recipies mpya zinakuja kila siku. Huwezi jua hii yako inaweza kuwa big hit.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…