Rokesheni!?Hili kongoro rost mix mchicha ni next levelView attachment 1689079
Daaah!!Nimepatwa na wivu yaani!🚶🚶🚶
hiyo kweli next level...Hili kongoro rost mix mchicha ni next levelView attachment 1689079
Mkuu nami nipatie kidogoAcha zako izo ala..!
Nipatie ndumba kidogo please,nami mambo yangu yanyooke kama yako!Koma...
hii nimetoa insta huko boss..siwajui wahusikaKwa selebonge ?tatizo kucha hizo
sikuizi kuna wipesKucha kama hachambi
🤣🤣🤣Lete hela
Mambo ya kizungu sio?..well,kama mnakuwa wasafi no probsikuizi kuna wipes
sikuizi kuna wipes
Ok,hiyo meza+msosi ni kwa selebonge tu kinohii nimetoa insta huko boss..siwajui wahusika