Leta ushahidi wa kimaandiko.Tufani ni tunda alilokula eva bustani ya eden ndiyo akatupoteza wote, sili tunda la mti hule
Pishi la january hilo,
Hana njaa huyoPishi la january hilo,
Kuna ndugu yangu mmoja ukimuwekea chakula kijiko kimekua hivo ndani ya wali anaweza asile
Yeye anadai anajisikia tu kama kinyaa flani hiviKwanini?
Uzungu?
Usasa?
Imani za giza?
Hahaha..! Huwa tunamshangaa sana.Duh ana mafikara yake mabaya tu huyo..pengine mambo ya topeni
Huyo ni Kingfish. Kiswahili ni nguru na sio Jodari.Huyo ni jodari au kingfish
Mkuu soma kwanza injili halafu ndiyo nije kufafanua itakua rahisiLeta ushahidi wa kimaandiko.
Huyo ni Kingfish. Kiswahili ni nguru na sio Jodari.
Jodari nafkiri ni Tuna in English
Mmmh mboga nisamehe tu
Hii ina mahali pake ngojja niipelekeWekeni ubwabwa hapo mkate siku.View attachment 1689015
Wekeni ubwabwa hapo mkate siku.View attachment 1689015
Ook. So sorry my dear. Won't repeat my ufalaaAcha ufala nimetaja wote wawili wakipikwa na ukiona picha ni kazi kujua ni yupi mie nimeona picha nikahisi ni hao wawili sasa umekuja kubisha kama vile nimesema ni jodari tu !!
thanks darlingPole..duh...!!!