Thanx InnaIle ngano ya juu koroga nzito kidogo..alafu leta mrejesho
Thanx InnaIle ngano ya juu koroga nzito kidogo..alafu leta mrejesho





Sasa mbona hunenepi?
Sawa we si una majicho mengiNaiona microwave hapo
Jr![]()
natamani nikonde ata zaidi ya hapaSasa mbona hunenepi?
hahaaha sio hivyo rafiki yangu,si unajua serikali imepiga marufuku ata kutembeleana ili tuwe safe ila mpk idd nafikiri tutakua tumeruhusiwa so usinsahau😂😂Aisee! Inna hivi umesahau kuwa mimi na wewe ni marafiki? Hata kunipa mwaliko umekataa? Poa, utaona EID haiko mbali
e͕̓́s̤̓͝t̫͒̀-̭̅͝c͇ͬ̀e͎͂͞ ̡̘̔q̨̜̾u͙͂͢ẽ̷̯ ̣͆͜ṭ̡̈́u̶̖̾ ̯̈́͞m̡͕̄'̖̄̕a͉͆͘i̧͕͆m̛͎ͫĕ̸͍sͮ͟ͅ?