Hahahaha fuga hata mbwa basi anko...and i miss you anko, my new id ankoYaani hii ndio huzuni yangu kila nikipika samaki wakati wa kuosha vyombo natamani ningekua na paka nkampa mabaki naye akajipatia rizki.
Nikutafuta vitambi tu visivyo na ulazima hahaha
Nikutafuta vitambi tu visivyo na ulazima hahaha
Ila ile mifupa usimpe akikabwa paka na miba ile utamwonea huruma.Yaani hii ndio huzuni yangu kila nikipika samaki wakati wa kuosha vyombo natamani ningekua na paka nkampa mabaki naye akajipatia rizki.
Hahahaha fuga hata mbwa basi anko...and i miss you anko, my new id anko
Wewe uliesoma unajua nini kwani? Kama huwezi kujua hata chips zina calories sasa umesoma niniNani anawadanganya kula chips unapata vitambi?
Kwanini mnakuwa wajinga wakati mmesoma?
Wewe uliesoma unajua nini kwani? Kama huwezi kujua hata chips zina calories sasa umesoma nini
Sio hadi dr aseme jamani..View attachment 1280003
Nanasi ndio breakfast yangu sikuhizi mpaka msimu huishenapiga nanasi moja Kila siku asubuhi
Happ bilated birthday..Jana ilikuwa birthday yangu View attachment 1281788
Jana ilikuwa birthday yangu View attachment 1281788
Jana ilikuwa birthday yangu View attachment 1281788
Haya mrembo umeeleweka, afya haijengwi na cementSio hadi dr aseme jamani..View attachment 1280003