Pagani zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 470
- 306
Hizo
Hizo sausages umezifanyaje hadi hazinyauki?
Hizo sausages umezifanyaje hadi hazinyauki?
duh! haya bhana. nitasemaje sasa hapa!
Sambusa zimenona hizo,
Mwenyejii unashibaa kwelii?
Wee dyadyaa hii mbege?
Ugali mdogo, mboga nyingi. Utashiba kwelii?
Mwenyejii huu utani sasa, lol
Hapana Mdogo wangu...Wee dyadyaa hii mbege?
Hapanaa!! Imekaa km mbege ndo nlijua hivo.Hapana Mdogo wangu...
Kinaitwa KIBURU....Unakijua?
Hamna...Hapanaa!! Imekaa km mbege ndo nlijua hivo.
Inaonekana ni tamu, maana imekua nzito haswaa.Hamna...
Ni chakula kinapikwa kwa kuchanganya Ndizi na Maharage then kinapondwa hadi kinakuwa hivyo...
Ni kitamu mno..hakuna mfano...Inaonekana ni tamu, maana imekua nzito haswaa.
Panaitwa wraps 😂😂Uzunguni city park?
The ribs?