Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Evening Milk Tea
IMG_20181127_211811.jpg
 
We nae bhana usitake kutuchanganya bwana we nyumbani kwako kila sehemu ni ya kulia chakula? Kuna ubaya gani kuwa na location moja ya kulia chakula
Je wajua kwamba hapo ni chini sakafuni na sio mezani?
Je wajua athari atakazopata endapo atamwaga hayo maziwa kwenye hilo kapeti la manyonya au kumwaga chakula hapo chini?
Think twice bibi
 
Back
Top Bottom