Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Hahahaa hyo glass ni kubwa 1/2ltr mkuu
Yani hata glasi haijajaa utumbo wako mdogo sana
Yani hata glasi haijajaa utumbo wako mdogo sana
Hichi kwa kuangalia tu ni kiporo
Ndio mganga ni kweliHichi kwa kuangalia tu ni kiporo
View attachment 946278
Welcome . Breakfast.
hiyo ni juice ?
Aisee..hii nimeivulia kofia..
Aisee..hii nimeivulia kofia..
Uliufyeka mkuu??
Ngabu acha sifa Loh...![]()
Naona pia kulikuwa na kuku wa kienyeji pembeni..Safi mkuuWote mzee . Nipo sawa sana kwa hii sector.