Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

20250629_224543.jpg


Pilau la mchongo...๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
 
Bibi nifundishe kupika,

Darasa umepata mjukuu, uje na mwiko na sufuria vingine utavikuta huku.
Usiwe tuu mvivu, chakula kitamu hakitaki haraka, utulivu na subra, utapika vitamu weye, ukifika mezani utakula huku wajiramba na wengineo pia watakuramba kwa utamu.
 
Darasa umepata mjukuu, uje na mwiko na sufuria vingine utavikuta huku.
Usiwe tuu mvivu, chakula kitamu hakitaki haraka, utulivu na subra, utapika vitamu weye, ukifika mezani utakula huku wajiramba na wengineo pia watakuramba kwa utamu.
Woyooooo!!
Bibi ninae na natambaa nae.
 
20250629_231336.jpg

Uraibuuu....๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹

20250629_231455.jpg


20250629_231656.jpg


Wafanyabiashara sio kabisa....

Nyama rosti akiitia hajinamoto na giligilani akaaiita makange inapanda bei.... ni jina tuu msosi uleule...

Ntarudi kwenye Diary Milk, sizitaki tena mbichi hizi...๐Ÿฅฑ.
20250630_181320.jpg

Pistachio Chocolate aka Dubai Gold Chocolate.... wizi mtupuu, sirudii tena.

20250630_171559.jpg


Jangwa kitandani, ice cream with pistachio Chocolate ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹.
 
20250630_213940.jpg


Matunda ni Kasinde, Kasinde ni Mahaba
Mahaba ni matunda ๐Ÿ˜‹.

Kula tunda uwe mtamu...๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹.

Pata picha wale walizaliwa inakorinwa asali...๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹. Asili ya utamu na mautamu kila mahali...๐Ÿฅฐ.
 
Afu eti saa hizi tumbo bado linataka tena na mihayo juu ya kupasua taya msamba.....!!

Nauza tumbo, nipeni bei...

Kama maini, figo na bandama vinauzika, mie nalinadi tumbo jamani, mwenye kulihitaji... bei maelewano.
 
Back
Top Bottom