Ukimaliza kula unashushia konyagi safii.
Embu tulione lilivyoAfu eti saa hizi tumbo bado linataka tena na mihayo juu ya kupasua taya msamba.....!!
Nauza tumbo, nipeni bei...
Kama maini, figo na bandama vinauzika, mie nalinadi tumbo jamani, mwenye kulihitaji... bei maelewano.
Jana nimekula biskuti za bange ujue sijui kwann hata nimekutag huku 😅😅 hichi kichwa hichi kipo resi sana.Tumeamka na hii
View attachment 3393344
Bange ilikutuma unikumbuke...😃😃😃😃Jana nimekula biskuti za bange ujue sijui kwann hata nimekutag huku 😅😅 hichi kichwa hichi kipo resi sana.
Anyway huo ugali mbona fujo sasa
Bila mjani hiki chakula hutoboiTumeamka na hii
View attachment 3393344
Nakukumbukaga sana bestie angu chaupole☺️😉Bange ilikutuma unikumbuke...😃😃😃😃
Ugali wa hatari sana huo hapo ukimaliza unatakiwa utembee at least km 5...
Nashukuru sana bestie angu cha utundu😊😊😊Nakukumbukaga sana bestie angu chaupole☺️😉
Kwa Huo ugali lazima uongeze nguvu za chululu 😆 maana sio kwa ukubwa huo aseee hiyo ni tiba tosha kwetu wanaume. Badala ya kutembea km 5 unakuwa na pumvi ya masaa ma 5!
Yaniii kwa akili ya kibinadamu isiyo na mawaaa haiwezakaniki...😀🙂Bila mjani hiki chakula hutoboi