Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

1751554857120.jpg
 
Afu eti saa hizi tumbo bado linataka tena na mihayo juu ya kupasua taya msamba.....!!

Nauza tumbo, nipeni bei...

Kama maini, figo na bandama vinauzika, mie nalinadi tumbo jamani, mwenye kulihitaji... bei maelewano.
Embu tulione lilivyo
 
Jana nimekula biskuti za bange ujue sijui kwann hata nimekutag huku 😅😅 hichi kichwa hichi kipo resi sana.

Anyway huo ugali mbona fujo sasa
Bange ilikutuma unikumbuke...😃😃😃😃
Ugali wa hatari sana huo hapo ukimaliza unatakiwa utembee at least km 5...
 
Bange ilikutuma unikumbuke...😃😃😃😃
Ugali wa hatari sana huo hapo ukimaliza unatakiwa utembee at least km 5...
Nakukumbukaga sana bestie angu chaupole☺️😉

Kwa Huo ugali lazima uongeze nguvu za chululu 😆 maana sio kwa ukubwa huo aseee hiyo ni tiba tosha kwetu wanaume. Badala ya kutembea km 5 unakuwa na pumvi ya masaa ma 5!
 
Nakukumbukaga sana bestie angu chaupole☺️😉

Kwa Huo ugali lazima uongeze nguvu za chululu 😆 maana sio kwa ukubwa huo aseee hiyo ni tiba tosha kwetu wanaume. Badala ya kutembea km 5 unakuwa na pumvi ya masaa ma 5!
Nashukuru sana bestie angu cha utundu😊😊😊
Mm huo siuweziii ni wenu nyie...hahahaha
 
Wakuu kuna kenge hapa nimemuweka kwenye 18, Ni watamu kweli au yule mwamba anatuleta?

Nisije uwa kiumbe asiye na hatia nikashindwa kumla..
 
Back
Top Bottom