Basi bwanaa....
Habari za akajasembamba zinafuata....
Rosti limekubali...😋😋😋
Shughuli iko mtaa wa pili hapo eeheeee....
Hawakukosea waliosema iga ufe khaaa....
Hadi sturesi zikanipanda kisa msosi....🥲🥲
Ila nikakaza roho kula lazima ebooh 😛😛
Hizo ndo zilikuwa malimbuko, yaani matoleo ya kwanza ya chapati za ndizi mzuzu eehehehehe jamanii....
Kujitia Kiranga tuu shughuli sii yangu hii khaa...!!
Sikukata tamaa, nikaongeza na zangu, nikapata chapati mfanano...
Hii ilikuwa chapati ya mwisho kupika, nilichanganya na unga wa ugali ili iweze kushikana kama chapati...😋😋😋
Hizi nilichanganya na ngano ndo nikaweza unda hiyo chapati japo zimebabuka na moto ila akuuu, ni taamuuu...😋😋😋