Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,844
- 16,094
Mbona dagaa mchele kama hujazigusa
Ni nyingi kinoma mzee za 3000 pale feli
Mbona dagaa mchele kama hujazigusa
Ulikaanga mwenyewe kumbe?Ni nyingi kinoma mzee za 3000 pale feli
Ulikaanga mwenyewe kumbe?
NhMain course will be served after 12hrs 😁
Mke hapa niwekee tu cha kwangu nakuja.
Hilo sotojo ungekaanga kwanza ingekua perfect.Samaki mbichi aliyeungwa 😋View attachment 2526479
Mara hii...hata wiki haijaisha??? Kaza bana!!!!Mke hapa niwekee tu cha kwangu nakuja.
Nimejaribu kufunga kwarezma shashindwa mapema tu😁
Shachemsha siku 3 tu.Mara hii...hata wiki haijaisha??? Kaza bana!!!!
Usafi wa hali ya juu 👏🏾👏🏾
Yoyote ile ila hasa ya kuku na ng'ombeYa nyama gani?
Wa nyumbaniView attachment 2507399
Mafinga kwa Babu Kuku
