Vyote vinaliwa kwa mapishi sawa tu,moyo unaweza ukatrim yale mafuta kandokando na mapafu.Sawa
Mimi huwa natupa moyo, mapafu nachukua maini pekee
Hebu nisaidie tuone
Hii ndo tuite chakula bora,yaani mlo kamili haswa usiongeze usipungue

Tangawizi ni Zao Ambalo Hutumika Kama Kiungo Katika Chakula na Unga wake Hutumika Katika Vinywaji Kama Juisi,Chai na Katika Chai Pia
Vitamini B3 (Niacin) na B6 (Pyridoxine)
Madini ya Chuma (Iron)
Madini ya Potassium na Sodiamu
Madini ya Magnesium
Vitamini C
Madini ya Phosphorus
Madini ya Zink
Vitamini B complex,A,E
Madini ya Calcium na Carotene
Huondoa Sumu Kwa Haraka Sana Mwilini
Huondoa Uvimbe Mwilini
Huua Vimelea Mbalimbali vya Magonjwa na Mayai Yake
Huondoa Maumivu ya Koo
Huua Bakteria Wa Aina Nyingi Mwilini Hata Bakteria Anayesababisha Taifodi
Huondoa Maumivu Mbalimbali mwilini
Huondoa Homa Baridi(chilla)
Hutibu Saratani Ya Tezi Dume.
Husaidia Kuzuia Shambulio la Moyo
Hushusha Kolestero(cholesterol)
Hutibu Shindikizi la Juu la damu(hypertension)
Husafisha Damu
Huzuia Damu Kuganda
Huongeza Msukumo wa Damu
Husaidia Kuzuia na Kutibu Kansa ya Titi
Husaidia Kutibu Kansa ya Mapafu
Hutibu kansa ya Kizazi na Kwenye mirija Ya Kizazi
Huzuia Kujizalisha Kwa Bakteria Anayesababisha Madonda ya Tumbo
Ni Dawa Nzuri Kwa Kansa Ya Damu
Huzuia Kuongezeka Kwa Seli za Kansa ya Kongosho
Huondoa Gesi Tumboni Kiurahisi na Kwa Haraka Zaidi
Ni Dawa Nzuri Kwa Kuondoa Hangover na Uchovu
Husaidia Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula
Huondoa na Kunguza Msituko kwenye Utumbo Mpana
Husaidia Kuongeza Kinga Ya mwili
Husafisha Utumbo Mpana
Hutimu Tatzo la Kupata Choo Kwa Shida na Husaidia Kutibu Kansa Zinazosababisha Kupata Choo Kigumu Kwa Mda Mrefu
Hulinda Mishipa ya Damu
Husaidia Kuongeza Afya ya Nywele,Ngozi,Kucha na Meno
Hutuliza Dalili za Pumu