Executor
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 872
- 997
Hapo thawa...Ee ndio sema hapo nakula chakula kwanza then nikimaliza ndio nakunywa hiyo chai.
Hapo thawa...Ee ndio sema hapo nakula chakula kwanza then nikimaliza ndio nakunywa hiyo chai.
Hapo uliuziwa ugali maharage tu, km ulilipa hiyo mishkaka then umepigwa na chuma kizito sana
Ukitoka hapo ni kunyamba tu😁
Sawa nyama wamekula wenyewe jikoni.Made in cafeteriaView attachment 2075884
Kongoro, usituharibie jina la supu pendwa
Hiki ni chakula gani!!?