Malegendary tu ndio tunavijua hivyo vijiko vya jani
Hahahahaaa. Hapana hawezi huyoAnataka kuomba mzigo rafiki
Wewe hicho kitambi ulipata lini?Uliiona wapi rafiki? Hakuna pisi kali yenye kitambi rafiki, itakua uliyoiona sio picha yangu
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Sasa hii unatakiwa kuila wakati siku ya pili unapanda basi kuelekea mkoani















Nimekipata jana. Raha zimenizidia kwa udhamini wa watu wa MafiaWewe hicho kitambi ulipata lini?



Kama bi hivyo sawa.Nimekipata jana. Raha zimenizidia kwa udhamini wa watu wa Mafia
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app





Oyeeeeee. Mafia tena jamani?Kama bi hivyo sawa.
Mafia oyeee![]()
Alafu leo nilikuwa Zenji sema sijakaa Sana nikageuza; au Uko mafia?![]()





. Nipo huku ile kesho nakuja mjini. Natumaini hautafichwa uneza kuwa ulikwenda kusherekea miaka 60 alafu hukurudiOyeeeeee. Mafia tena jamani?. Nipo huku ile kesho nakuja mjini. Natumaini hautafichwa
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app


hivi ningekuwa nafichwa tungeweza kula bata namna ile tulivyoo kaa wiki? ; siku hizi niko huru japo huamini.
Karibu my dear..anytimeMiss naomba nije nipumzike kwako...wiki mbili tu
