Asante sana.Huu ni mchemsho tu. Nyama unaunga km kawaida na thomu na tangawizi, binzar kdg na pilipili washa kdg.
Chemsha ikikaribia kuwiva kiasi weka kitunguu maji kiasi na ndimu.
Hio km brown ni mama sitas source unaweza kuweka kdg ukipenda. So yummy
Maoni yangu ni " ugali mdogo" hautatoshea mbogaUgal na samak wa mchuzi, kuchemsha na mbog ya majani... kigetogetoView attachment 1979759
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hiyo pembeni ya tambi ni nini? Sjaelewa
Hii imeeleweka mkuu. AsanteHahahaha.. Honey nzuri ni hii View attachment 1979484
Umboga gali tatuUgal na samak wa mchuzi, kuchemsha na mbog ya majani... kigetogetoView attachment 1979759
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee. SafiNyama imechanganywa na mbogamboga
mkuu unamaanisha sijautendea haki ugali...Maoni yangu ni " ugali mdogo" hautatoshea mboga
mboga nyingi ugal kidogo. Wadau wanadai sijautendea haki.Umboga gali tatu
Kisamvu kikilala sijui kina siri gani! yaani ladha yake inazidi kuongezekaHiki kiporo ni funga kazi..na kile cha wali kisamvu. Hivi ndo vinafanyaga mtu unavunja diet unasema ntaendelea kesho